UMUHIMU WA KUANDIKA WOSIA ILI KUMKOMBOA MWANAMKE NA FAMILIA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4dwNC2OLdss/XmIvc64FLGI/AAAAAAALhdI/wGvCcs6R4dgFdKMAgRMqoerIjLMSfU1eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B2.05.57%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
*RITA ilianzisha kitengo cha kuandika na kuhifadhi Wosia baada ya kuona changamoto ni nyingi katika usimamizi wa mirathi ambazo marehemu hakuacha wosia hivyo mirathi hizo huchukua muda mrefu kumalizika na kuchelewesha haki na usawa kwa warithi halali wa marehemu hasa mwanamke na watoto.
*Mwanamke ni nguzo imara katika familia hivyo nguzo hiyo inapokosa pahali pa kusimamia huanguka kirahisi na hata kuathiri familia kwa kiasi kikubwa. Hatahivyo kumekuwa na changamoto nyingi za kuwepo kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 May
Pinda: Jengeni tabia ya kuandika wosia
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote kujenga tabia ya kuandika wosia, ili kuondoa matatizo ya mirathi pale mume au mke anapoaga dunia.
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
DC: Tunapambana kumkomboa mwanamke
SERIKALI imesema inapambana kuhakikisha inamkomboa mwanamke kutoka kwenye mateso ya kiuchumi. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya wa Ilemela jijini hapa, Amina Masenza, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mhandisi...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Angels Moment kumkomboa mwanamke kiuchumi
LICHA ya jamii kuwa katika harakati ya kupiga vita aina zote za unyonyaji na ukandamizaji dhidi ya wanawake, bado hali hiyo inaongezeka na kuendelea kushika kasi nchini. Hali hii hufanya ...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mimute na harakati za kumkomboa mwanamke kiuchumi
VITENDO vya unyanyasaji, ukatili dhidi ya wanawake ni matokeo ya mila gandamizi ambazo ni kikwazo katika ukombozi wa wanawake kiuchumi,mkijamii na kisiasa. Wanawake wengi hasa waishio vijijini, wamekua wakipigwa ovyo,...
11 years ago
MichuziVodacom kuwekeza zaidi katika kumkomboa Mwanamke
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0lFKpPpe7wo/VoSz8DcAY8I/AAAAAAAAXvw/I_iCk_Y9Nug/s72-c/nyandkewa%2Baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.jpg)
Waraghbishi wilayani kahama wapania Kumkomboa Mwanamke
Wanawake ni nguzo muhimu sana katika uchumi wa watanzania wengi. Mwanamke ana ushawishi mkubwa na hasa pale anapoamua kuwa chachu ya maendeleo. Na hasa anapowezeshwa kufanya hivyo.
Katika kufanikisha hili waraghbishi wameamua kutoa mafunzo ya uraghbishi kwa makundi mengine ya jamii. Mojawapo ya kundi hilo ni la wanawake. Waraghbishi wapya toka katika kijiji cha Nyandekwa, kati ya hao wapo 9 ambao ni wanawake.Mmoja wao ni Anna Alphonce, Mwenyekiti wa kitongoji cha...
5 years ago
CCM Blog21 Jun
TUMEANZISHA MFUMO WA STAKABADHI GHARANI ILI KUMKOMBOA MKULIMA – RC HOMERA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Pic-16-Tumbaku-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Pic-10-RC-and-Mrajisi-wakizungumza-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Pic-11-1.jpg)
9 years ago
MichuziWaraghbishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke
9 years ago
MichuziAWAMU YA TATU YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWAJILI YA KUMKOMBOA MWANAMKE WA KITANZANIA YAANZA DAR
Awamu ya Tatu ya Mafunzo ya Ujarisiamali kwa Mkoa wa Dar es salaam yameanza leo. Wanawake 35 wa jiji la Dar es salaam Watanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mtaalamu wa mambo ya Biashara Bw Felix Maganjila na Shekha Nasser. Mafunzo haya yenye lengo la kumwezesha mwanamke wa Kitanzania kuondokana na tatizo la ukossefu wa ajira kwa kujikita katika kujiajiri...