DC: Tunapambana kumkomboa mwanamke
SERIKALI imesema inapambana kuhakikisha inamkomboa mwanamke kutoka kwenye mateso ya kiuchumi. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya wa Ilemela jijini hapa, Amina Masenza, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mhandisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Angels Moment kumkomboa mwanamke kiuchumi
LICHA ya jamii kuwa katika harakati ya kupiga vita aina zote za unyonyaji na ukandamizaji dhidi ya wanawake, bado hali hiyo inaongezeka na kuendelea kushika kasi nchini. Hali hii hufanya ...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mimute na harakati za kumkomboa mwanamke kiuchumi
VITENDO vya unyanyasaji, ukatili dhidi ya wanawake ni matokeo ya mila gandamizi ambazo ni kikwazo katika ukombozi wa wanawake kiuchumi,mkijamii na kisiasa. Wanawake wengi hasa waishio vijijini, wamekua wakipigwa ovyo,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0lFKpPpe7wo/VoSz8DcAY8I/AAAAAAAAXvw/I_iCk_Y9Nug/s72-c/nyandkewa%2Baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.jpg)
Waraghbishi wilayani kahama wapania Kumkomboa Mwanamke
Wanawake ni nguzo muhimu sana katika uchumi wa watanzania wengi. Mwanamke ana ushawishi mkubwa na hasa pale anapoamua kuwa chachu ya maendeleo. Na hasa anapowezeshwa kufanya hivyo.
Katika kufanikisha hili waraghbishi wameamua kutoa mafunzo ya uraghbishi kwa makundi mengine ya jamii. Mojawapo ya kundi hilo ni la wanawake. Waraghbishi wapya toka katika kijiji cha Nyandekwa, kati ya hao wapo 9 ambao ni wanawake.Mmoja wao ni Anna Alphonce, Mwenyekiti wa kitongoji cha...
11 years ago
MichuziVodacom kuwekeza zaidi katika kumkomboa Mwanamke
9 years ago
MichuziWaraghbishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4dwNC2OLdss/XmIvc64FLGI/AAAAAAALhdI/wGvCcs6R4dgFdKMAgRMqoerIjLMSfU1eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B2.05.57%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UMUHIMU WA KUANDIKA WOSIA ILI KUMKOMBOA MWANAMKE NA FAMILIA.
*Mwanamke ni nguzo imara katika familia hivyo nguzo hiyo inapokosa pahali pa kusimamia huanguka kirahisi na hata kuathiri familia kwa kiasi kikubwa. Hatahivyo kumekuwa na changamoto nyingi za kuwepo kwa...
9 years ago
MichuziAWAMU YA TATU YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWAJILI YA KUMKOMBOA MWANAMKE WA KITANZANIA YAANZA DAR
Awamu ya Tatu ya Mafunzo ya Ujarisiamali kwa Mkoa wa Dar es salaam yameanza leo. Wanawake 35 wa jiji la Dar es salaam Watanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mtaalamu wa mambo ya Biashara Bw Felix Maganjila na Shekha Nasser. Mafunzo haya yenye lengo la kumwezesha mwanamke wa Kitanzania kuondokana na tatizo la ukossefu wa ajira kwa kujikita katika kujiajiri...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Tunapambana kweli na dawa za kulevya?
SERIKALI pamoja na wananchi miongoni mwetu tumekuwa tukijinasibu kuwa tunapiga vita matumizi ya dawa za kulevya ‘unga’ yenye mtandao mkubwa ndani na nje ya nchi. Hoja ya kupiga vita biashara...
11 years ago
Dewji Blog06 May
Andikeni Habari za kumkomboa Mwananchi : Jaji Bomani
Mshehereshaji ambaye ni Mwanakamati ya maandilizi ya maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani 2014, Usia Nkhoma Ledama akiwatambulisha baadhi ya waandishi wa habari wakongwe (hawapo pichani) kwa mgeni rasmi Jaji Mstaafu Mark Bomani.(Picha zote na Zainul Mzige).
Na Mwandishi wetu
Jaji Mstaafu Mark Bomani amesema lengo la mchakato wa Katiba ni kuhakikisha kwamba Tanzania inapata Katiba ambayo ni bora zaidi kuliko zote itakayoshughulikia changamoto na kuweka mazingira ambayo...