Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waraghbishi wilayani kahama wapania Kumkomboa Mwanamke

Na Krantz Mwantepele .Kahama
Wanawake ni nguzo muhimu sana katika uchumi wa watanzania wengi. Mwanamke ana ushawishi mkubwa na hasa pale anapoamua kuwa chachu ya maendeleo. Na hasa anapowezeshwa kufanya hivyo.


Katika kufanikisha hili waraghbishi wameamua kutoa mafunzo ya uraghbishi kwa makundi mengine ya jamii. Mojawapo ya kundi hilo ni la wanawake. Waraghbishi wapya toka katika kijiji cha Nyandekwa, kati ya hao wapo 9 ambao ni wanawake.

Mmoja wao ni Anna Alphonce, Mwenyekiti wa kitongoji cha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Waraghbishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke

Baadhi ya waraghabishi wa kijiji cha Nyandekwa Wilayani Kahama wakiongea na waandishi wa habari waliofika kijijini hapo kwa ajili ya kujionea matokeo mbali mbali baada ya waraghabishi kuwasaidia wananchi hao kuchukua hatua katika kila jambo kwa maendeleo ya kijiji chao. Mdau Krantz Mwantepele akihoji maswali kwa Dada Miriam Stefano (Aliyejishika tama ) ambaye amekuwa mchango mkubwa kwa kutoa elimu ya uzazi na mabadilko ya mwili kwa vijana wa kike katika baadhi ya shule za sekondari na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

DC: Tunapambana kumkomboa mwanamke

SERIKALI imesema inapambana kuhakikisha inamkomboa mwanamke kutoka kwenye mateso ya kiuchumi. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya wa Ilemela jijini hapa, Amina Masenza, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mhandisi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Angels Moment kumkomboa mwanamke kiuchumi

LICHA ya  jamii kuwa katika harakati ya kupiga  vita  aina zote za unyonyaji na ukandamizaji dhidi ya wanawake, bado hali hiyo inaongezeka  na kuendelea kushika kasi  nchini. Hali hii hufanya ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mimute na harakati za kumkomboa mwanamke kiuchumi

VITENDO vya unyanyasaji, ukatili dhidi ya wanawake  ni matokeo ya mila gandamizi ambazo ni kikwazo katika ukombozi wa wanawake kiuchumi,mkijamii na kisiasa. Wanawake wengi hasa waishio vijijini, wamekua wakipigwa ovyo,...

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom kuwekeza zaidi katika kumkomboa Mwanamke

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Vodafone, Jacqueline Barrett, akizungumza na wanawake wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, katika hafla iliyoandaliwa na Vodacom Foundation kwa wanawake wa Kampuni hiyo ikiwa ni katika Shamra Shamra za kuelekea katika kuazimisha siku ya Wanawake duniani. Kampuni hiyo imeahidi kuendeleza kuunga mkono harakati za kumkomboa mwanamke. Baadhi ya Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania, wakimsikiliza Ofisa Mtendaji Mkuu wa Vodafone, Jacqueline Barrett, katika hafla...

 

5 years ago

Michuzi

UMUHIMU WA KUANDIKA WOSIA ILI KUMKOMBOA MWANAMKE NA FAMILIA.

*RITA ilianzisha kitengo cha kuandika na kuhifadhi Wosia  baada  ya kuona   changamoto ni nyingi katika  usimamizi wa mirathi ambazo marehemu hakuacha wosia hivyo mirathi hizo huchukua muda mrefu kumalizika na kuchelewesha haki na usawa kwa warithi halali wa marehemu hasa mwanamke na watoto.
*Mwanamke ni nguzo imara katika familia hivyo nguzo hiyo inapokosa pahali pa kusimamia huanguka kirahisi na hata kuathiri familia kwa kiasi kikubwa. Hatahivyo kumekuwa na changamoto nyingi za kuwepo kwa...

 

9 years ago

Michuzi

AWAMU YA TATU YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWAJILI YA KUMKOMBOA MWANAMKE WA KITANZANIA YAANZA DAR

 Washiriki wa Mafunzo hayo wakisikiliza kwa Makini Mafunzo hayo..

Awamu ya Tatu ya Mafunzo ya Ujarisiamali kwa Mkoa wa Dar es salaam yameanza leo. Wanawake 35 wa jiji la Dar es salaam Watanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mtaalamu wa mambo ya Biashara Bw Felix Maganjila na Shekha Nasser. Mafunzo haya yenye lengo la kumwezesha mwanamke wa Kitanzania kuondokana na tatizo la ukossefu wa ajira kwa kujikita katika kujiajiri...

 

9 years ago

Michuzi

Raia Waamirifu wilayani Kahama Wakerwa na Utoro

Mdau Krantz Mwantepele akizungumza na Raia waamilifu kutoka kijiji cha Kilago wilayani Kahama ambapo nilipata nafasi ya kujua mambo mbalimbali ikwemo mchango wa uraghabishi katika kijiji hicho katika sekta ya elimu 
Na Krantz Mwantepele , Kahama
Utoro ni tabia ya kuondoka au kutokufika mahali mara kwa mara bila ya kutoa taarifa. Tabia hii ipo kwenye maeneo ya makazini pamoja na shuleni. Katika baadhi ya kata za wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. 
Tabia hii imekuwa kero kwa wanajamii wa kata za...

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAIOPONGEZA NFRA UNUNUZI WA MAZAO

WAKULIMA  wa wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga wameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuanza kuwajali wakulima wa Mazao mbalimbali kwa kuchukua hatua ya kuwakomboa kwa kutoa maelekezo ya kulielekeza shirika la Taifa la kuhifadhi chakula (NFRA) kununua mazao myote katika  msimu huu.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nyanhembe Agricultural Farm Khamis Mgeja ambayo  inayojishughulisha na shughuli za Kilimo na ufugaji alipotembelewa na jopo la waandishi wa habari kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani