Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia Waamirifu wilayani Kahama Wakerwa na Utoro

Mdau Krantz Mwantepele akizungumza na Raia waamilifu kutoka kijiji cha Kilago wilayani Kahama ambapo nilipata nafasi ya kujua mambo mbalimbali ikwemo mchango wa uraghabishi katika kijiji hicho katika sekta ya elimu 
Na Krantz Mwantepele , Kahama
Utoro ni tabia ya kuondoka au kutokufika mahali mara kwa mara bila ya kutoa taarifa. Tabia hii ipo kwenye maeneo ya makazini pamoja na shuleni. Katika baadhi ya kata za wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. 
Tabia hii imekuwa kero kwa wanajamii wa kata za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Waraghbishi wilayani kahama wapania Kumkomboa Mwanamke

Na Krantz Mwantepele .Kahama
Wanawake ni nguzo muhimu sana katika uchumi wa watanzania wengi. Mwanamke ana ushawishi mkubwa na hasa pale anapoamua kuwa chachu ya maendeleo. Na hasa anapowezeshwa kufanya hivyo.


Katika kufanikisha hili waraghbishi wameamua kutoa mafunzo ya uraghbishi kwa makundi mengine ya jamii. Mojawapo ya kundi hilo ni la wanawake. Waraghbishi wapya toka katika kijiji cha Nyandekwa, kati ya hao wapo 9 ambao ni wanawake.

Mmoja wao ni Anna Alphonce, Mwenyekiti wa kitongoji cha...

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA WILAYANI KAHAMA WAIOPONGEZA NFRA UNUNUZI WA MAZAO

WAKULIMA  wa wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga wameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuanza kuwajali wakulima wa Mazao mbalimbali kwa kuchukua hatua ya kuwakomboa kwa kutoa maelekezo ya kulielekeza shirika la Taifa la kuhifadhi chakula (NFRA) kununua mazao myote katika  msimu huu.

Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Nyanhembe Agricultural Farm Khamis Mgeja ambayo  inayojishughulisha na shughuli za Kilimo na ufugaji alipotembelewa na jopo la waandishi wa habari kwenye...

 

10 years ago

GPL

MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA

Watu 35 wamefariki dunia na wengine 55 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyumba zao kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. (CHANZO: RADIO1 STEREO)

 

10 years ago

Vijimambo

WATU SITA AKIWEMO NA MWALIMU WAKAMATWA NA MIFUPA INAYOSEMEKANA NI YA ALBINO WILAYANI KAHAMA

Waganga wa jadi Elizabeth au Shija Makandi Sweya (kushoto) na  Regina au Tatu Kashinje Nhende.  Mwalimu Bahati Kilungu Maziku.Bilia Masanja Mhalala 
Mganga wa jadi Abubakar Ally Magazi 

Muhoja John Shija
Na Daniel Mbega, Kahama

WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.


Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hii ni zaidi ya burudani ya Tamasha la Tigo Welcome Pack wilayani Kahama mwishoni mwa wiki

joti (2)...

Msanii wa vichekesho Lucas Mhavile a.k.a Joti akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.

masanja (1)..

Msanii wa vichekesho Masanja akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.

masanja (2)..

mpoki...

Msanii wa vichekesho mpoki akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo Welcome Pack.

orijino komedi (1)...

orijino komedi (2)..

mwanafa..

Msanii wa Bongo fleva Mwana FA akitumbuiza kwenye uwanja wa Taifa Wilayani Kahama,wakati wa tamasha la Tigo...

 

10 years ago

Michuzi

HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA

Kufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma.

Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango mbalimbali.

Hatua zilizochukuliwa

Serikali imechukua hatua za haraka kwa kushirikiana na wananchi...

 

10 years ago

Vijimambo

HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA

Katibu Mkuu,Ofisi ya Waziri Mkuu Florens Turuka
-JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUUKufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma.
Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango...

 

10 years ago

Vijimambo

UKATILI..!! KICHANGA CHA MWAKA MMOJA CHAKUTWA KIMETUPWA JALALANI HUKO WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA


Wananchi wa mtaa wa nyahanga mjini Kahama wakiangalia mwili wa kichanga hicho kilichowekwa kwenye mfuko.Mwili wa mtoto mwenye umri wa siku 1 umekotwa ukiwa umetupwa katika eneo la dampo la shule ya msingi Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinyanga.Mashuhuda watukio hilo wamesema kuwa mwili wa mtoto huyo umegunduliwa jana na wanafunzi wa shule ya msingi Nyahanga wakati wanaenda kutupa takataka kwenye dampo hilo.Akizungumzia tukio hilo afisa mtendaji wa kata ya Nyahanga Nambo Ntaki amesema kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA WAWASILI WILAYANI KAHAMA USIKU HUU KWA BASI,KESHO KUANZA RASMI ZIARA YA KAGERA

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na kamati ya Ulinzi na Usalama usiku huu ndani ya wilaya Kahama mkoani Shinyanga tayari kwa mapumziko,ambapo kesho ataianza rasmi ziara yake katika kijiji cha Nyakanazi wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,Ndugu Kinana ndani ya Biharamulo atapokea taarifa za chama na Serikali na baadae kuzungumza na Wafugaji wa kanda ya Ziwa (Mikoa ya Geita,Kagera,Mwana na Shinyanga)  na baadae kueleke Bukoba mjini.
Ndugu Kinana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani