Magufuli aanika Baraza la Mawaziri, bado hajapata wanne
Rais John Magufuli ametangaza rasmi wizara 18 pekee ambazo zitaongozwa na mawaziri 19 na manaibu 15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Rais Magufuli ateua Mawaziri wanne waliokuwa wamebaki
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano yautawala wake
Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;
1.Profesa Jumanne Maghembe -Ameteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.
2.Dkt. Philip Mpango – Ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Dk Magufuli akamilisha Baraza la Mawaziri
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Magufuli atangaza baraza la mawaziri
9 years ago
CCM Blog10 Dec
RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI
9 years ago
Bongo510 Dec
Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.
Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.
Hili ndio Baraza la Magufuli:
1.Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo
2.Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January...
9 years ago
Habarileo10 Dec
BREAKING NEWS: Rais Magufuli atangaza baraza dogo la mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli hivi punde ametangaza baraza lake la mawaziri, amesema wizara nyingi wameunganisha na atakuwa na wizara 18, na watakuwa na mawaziri 19 tu, na baadhi ya wizara zitakuwa na manaibu waziri huku zingine hazitakuwa na manaibu waziri.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Iv7Ipr4gPFI/VmlbyJly9UI/AAAAAAAILao/Z5LLG1nj9Ps/s72-c/jbb1.jpg)
BREAKING NYUZZZZ...: RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Iv7Ipr4gPFI/VmlbyJly9UI/AAAAAAAILao/Z5LLG1nj9Ps/s640/jbb1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tyAe1y0j3gM/VmlbyQFhHVI/AAAAAAAILas/CyiyTRc9i6o/s640/jbb2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r3IBXnCOODw/XmYvNzeD0vI/AAAAAAAC8Kg/YB3zAJpS5gg-J80WXyrwjFCPv0wrP2TtACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI
![](https://1.bp.blogspot.com/-r3IBXnCOODw/XmYvNzeD0vI/AAAAAAAC8Kg/YB3zAJpS5gg-J80WXyrwjFCPv0wrP2TtACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--SDbQ2gt8Yw/XmYvPNHfY2I/AAAAAAAC8Kk/-C-FPLvWnrIlFRR0NwthNEYMTo6VZmTgACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Machi 09, 2020. Picha na Ikulu
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/--d6NYbg2bW4/Vmuz_dXuJwI/AAAAAAAA1gU/q6bOgkLMNoU/s72-c/IMG_20151211_172048.jpg)