Wapi ni mahala sahihi pa kukaa na watoto?
Ni siku nyingine yenye amani tele wajukuu zangu tunakutana tena katika safu yetu. Leo wajukuu zangu napenda tuangalie mada ambayo kidogo inaonekana imejificha, lakini ni muhimu sana hasa kwa ninyi wajukuu zangu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
‘Si sahihi kukaa wiki bila ya Mwanasheria Mkuu’
Wakili maarufu nchini, Alex Mgongolwa amekosoa kitendo cha Serikali kutimiza siku ya saba bila ya kuwapo kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akisema si sahihi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?
Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqXAFsvi-uLzc-eytcHuRCNWByJWyo5N8d8VJkZLYvz6Q1x2R*4-Ha8z45xYg4oRCSP6c6vK3I1FUU*78-9Y3iNL/mother_with_child.png?width=650)
UANGALIZI SAHIHI WA WATOTO
Uangalizi wa watoto wachanga na watoto wakubwa una lengo la kuboresha afya na maendeleo ya mtoto ili aweze kukua vizuri na awe na afya njema. Katika suala hili, mtoto anaendelezwa kwa kupata elimu vizuri, chanjo na kuchunguzwa afya yake na kupatiwa tiba kwa tatizo linalojitokeza. Mtoto anafanyiwa tathmini ya afya tangu pale anapozaliwa siku ya kwanza kuona kama yupo mkamilifu kwamba analia mara moja, viungo vyake vipo kamili....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518dQNmgqNJVLH3HXl8TQAIznCDoin89t3EKwv8VWTF0qlfNLdrh2uOc-Z4tyZC7BTyYwzuVtTee3I9ZE9sMAJ-L/motherwithchildreninpark.jpg?width=650)
UANGALIZI SAHIHI WA WATOTO-3
Tunaendelea na makala haya yanayohusu uangalizi sahihi wa watoto.
LISHE KWA MTOTO
Mara baada ya kuzaliwa, mtoto anatakiwa anyonye maziwa ya mama mfululizo kwa miezi sita endapo alizaliwa salama na baada ya miezi sita aanze kupewa chakula mchanganyiko huku akiendelea na maziwa ya mama.
Mama anapompeleka mtoto kliniki, atapata ushauri juu ya lishe bora na jinsi ya kumtunza. Mama anayenyonyesha anaweza kuwa na matatizo...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ongezeko la picha za watoto mitandaoni siyo sahihi
Maendeleo ni matokeo ya jitihada na nguvu zilizotumika katika kuwekeza. Taifa haliwezi kupata maendeleo ya kweli mpaka pale thamani ya watoto wake inapowekwa wazi kwa kila raia. Mtoto ni rasilimali ambayo ikiandaliwa vyema taifa linaweza kufikia maendeleo na kuondokana na umasikini.
11 years ago
Mwananchi07 May
‘Wako wapi watoto wangu, familia yangu?’
>Ama kweli ajali haichagui maskini wala tajiri. Inasikitisha kwani ni mwanamke asiye na uwezo anayeishi kufanya biashara ya kuuza ndizi anazotembeza barabarani. Hata hivyo, hivi sasa maisha yake yamezidi kuwa magumu kwa kuwa hajui familia yake ilipo.
10 years ago
Vijimambo07 Oct
JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA
![wema sepetu bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_.jpg)
![wema sepetu bongoclan.co.tz..](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_..-300x201.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Sajent-1.jpg?width=650)
SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?
MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10