Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapi ni mahala sahihi pa kukaa na watoto?

Ni siku nyingine yenye amani tele wajukuu zangu tunakutana tena katika safu yetu. Leo wajukuu zangu napenda tuangalie mada ambayo kidogo inaonekana imejificha, lakini ni muhimu sana hasa kwa ninyi wajukuu zangu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Si sahihi kukaa wiki bila ya Mwanasheria Mkuu’

Wakili maarufu nchini, Alex Mgongolwa amekosoa kitendo cha Serikali kutimiza siku ya saba bila ya kuwapo kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali akisema si sahihi.

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia

Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya

Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume  wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?

Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.

 

10 years ago

GPL

UANGALIZI SAHIHI WA WATOTO

Uangalizi wa watoto wachanga na watoto wakubwa  una lengo la kuboresha afya na maendeleo ya mtoto ili aweze kukua vizuri na awe na afya njema. Katika suala hili, mtoto anaendelezwa kwa kupata elimu vizuri, chanjo na kuchunguzwa afya yake na kupatiwa tiba kwa tatizo linalojitokeza. Mtoto anafanyiwa tathmini ya afya tangu pale anapozaliwa siku ya kwanza kuona kama yupo mkamilifu kwamba analia mara moja, viungo vyake vipo kamili....

 

10 years ago

GPL

UANGALIZI SAHIHI WA WATOTO-3

Tunaendelea na makala haya yanayohusu uangalizi sahihi wa watoto.
LISHE KWA MTOTO
Mara baada ya kuzaliwa, mtoto anatakiwa anyonye maziwa ya mama mfululizo kwa miezi sita endapo alizaliwa salama na baada ya miezi sita aanze kupewa chakula mchanganyiko huku akiendelea na maziwa ya mama.
Mama anapompeleka mtoto kliniki, atapata ushauri juu ya lishe bora na jinsi ya kumtunza. Mama anayenyonyesha anaweza kuwa na matatizo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ongezeko la picha za watoto mitandaoni siyo sahihi

Maendeleo ni matokeo ya jitihada na nguvu zilizotumika katika kuwekeza. Taifa haliwezi kupata maendeleo ya kweli mpaka pale thamani ya watoto wake inapowekwa wazi kwa kila raia. Mtoto ni rasilimali ambayo ikiandaliwa vyema taifa linaweza kufikia maendeleo na kuondokana na umasikini.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wako wapi watoto wangu, familia yangu?’

>Ama kweli ajali haichagui maskini wala tajiri.  Inasikitisha kwani ni mwanamke asiye na uwezo anayeishi kufanya biashara ya kuuza ndizi anazotembeza barabarani.  Hata hivyo, hivi sasa maisha yake yamezidi kuwa magumu kwa kuwa hajui familia yake ilipo.

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani