UANGALIZI SAHIHI WA WATOTO-3
![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD518dQNmgqNJVLH3HXl8TQAIznCDoin89t3EKwv8VWTF0qlfNLdrh2uOc-Z4tyZC7BTyYwzuVtTee3I9ZE9sMAJ-L/motherwithchildreninpark.jpg?width=650)
Tunaendelea na makala haya yanayohusu uangalizi sahihi wa watoto. LISHE KWA MTOTO Mara baada ya kuzaliwa, mtoto anatakiwa anyonye maziwa ya mama mfululizo kwa miezi sita endapo alizaliwa salama na baada ya miezi sita aanze kupewa chakula mchanganyiko huku akiendelea na maziwa ya mama. Mama anapompeleka mtoto kliniki, atapata ushauri juu ya lishe bora na jinsi ya kumtunza. Mama anayenyonyesha anaweza kuwa na matatizo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqXAFsvi-uLzc-eytcHuRCNWByJWyo5N8d8VJkZLYvz6Q1x2R*4-Ha8z45xYg4oRCSP6c6vK3I1FUU*78-9Y3iNL/mother_with_child.png?width=650)
UANGALIZI SAHIHI WA WATOTO
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Wapi ni mahala sahihi pa kukaa na watoto?
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ongezeko la picha za watoto mitandaoni siyo sahihi
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IBkfNSCXTh8/VfKUtEETxoI/AAAAAAAD66c/F8hGI_HmB9I/s72-c/fd9fb5df5014880bf11f0aed01e508a8.jpg)
UANGALIZI WA FYA NA MATIBABU WA BURE DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-IBkfNSCXTh8/VfKUtEETxoI/AAAAAAAD66c/F8hGI_HmB9I/s640/fd9fb5df5014880bf11f0aed01e508a8.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Gwajima chini ya uangalizi maalumu TMJ
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Benki ya FBME yawekwa chini ya uangalizi
![FBME](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/FBME.jpg)
FBME
NA MWANDISHI WETU
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) jana ilitangaza kuchukua usimamizi wa Benki ya FBME Tanzania, MTANZANIA Jumamosi linaripoti.
Hatua hiyo imechukuliwa kuanzia juzi Alhamisi kutokana na kashfa zilizoikumba benki hiyo inayomilikiwa na raia wa Lebanon.
Taarifa hizo zimeeleza kuwa uamuzi huo umetokana na Benki Kuu ya Cyprus (CBC) kuchukua uendeshaji tawi la FBME Ltd nchini Cyprus, kufuatia taarifa za Mtandao wa Kupambana na Uhalifu wa Kifedha wa Marekani (FinCEN), kuihusisha na...
10 years ago
Habarileo26 Nov
Shehe Maduga na wenzake wawekwa chini ya uangalizi
MWANAZUONI na Mwanaharakati maarufu wa Kiislamu, Shehe Waziri Amani Maduga na wenzake wanne wote wakazi wa mkoa wa Morogoro wamewekwa chini ya uangalizi wa miaka miwili huku wakitakiwa kutunza amani ya nchi baada ya kutolewa kwa amri na mahakama kufuatia ombi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi yao.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Mbita atimiza siku 47 katika uangalizi maalumu Muhimbili