Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gwajima chini ya uangalizi maalumu TMJ

Hali ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima inaendelea vizuri, ingawa haijabainika anasumbuliwa na tatizo gani kiafya hadi hapo vipimo vitakapopatikana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Benki ya FBME yawekwa chini ya uangalizi

FBME

FBME

NA MWANDISHI WETU

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) jana ilitangaza kuchukua usimamizi wa Benki ya FBME Tanzania, MTANZANIA Jumamosi linaripoti.

Hatua hiyo imechukuliwa kuanzia juzi Alhamisi kutokana na kashfa zilizoikumba benki hiyo inayomilikiwa na raia wa Lebanon.

Taarifa hizo zimeeleza kuwa uamuzi huo umetokana na Benki Kuu ya Cyprus (CBC) kuchukua uendeshaji tawi la FBME Ltd nchini Cyprus, kufuatia taarifa za Mtandao wa Kupambana na Uhalifu wa Kifedha wa Marekani (FinCEN), kuihusisha na...

 

10 years ago

Habarileo

Shehe Maduga na wenzake wawekwa chini ya uangalizi

MWANAZUONI na Mwanaharakati maarufu wa Kiislamu, Shehe Waziri Amani Maduga na wenzake wanne wote wakazi wa mkoa wa Morogoro wamewekwa chini ya uangalizi wa miaka miwili huku wakitakiwa kutunza amani ya nchi baada ya kutolewa kwa amri na mahakama kufuatia ombi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbita atimiza siku 47 katika uangalizi maalumu Muhimbili

Dar es Salaam. Brigedia Jenerali mstaafu, Hashimu Mbita ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN), ametimiza siku 47 akiwa katika chumba cha uangalizi maalumu huku wataalamu wakisema hali yake si mbaya wala si ya kuridhisha.

 

9 years ago

Vijimambo

DAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR

Sehemu ya Dawa za kulevya zilizoteketezwa jana katika Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam uku zikisimamiwa na majaji wa mahakama Kuu, jeshi la Polisi pamoja na mamlaka ya kudhibiti Dawa za kulevya hapa nchini Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison...

 

9 years ago

Michuzi

DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR


 Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison Mkasimongwa alizitaja aina ya dawa hizo kuwa  ni Heroine mifuko 179 na Cocaine mifuko 81 zenye thamani ya Shilingi Bilioni tano ambapo  zilikuwa na Gram 175,000 ambazo zilikamatwa miaka kadhaa Mbezi Jogoo jijini Dar.Jaji wa Mahakama...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.

UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii umemtafutia kituo cha kulelea watoto wa mitaani cha Nuru Ophans Centre Mama aliyejifungua mapacha wanne na kubakia wawili baada ya kuugua Nimonia kwa ajili ya uangalizi wa karibu.  Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Hospitali hiyo kumfuata mama mwenye watoto hao Aida Nakawala(25) pamoja na mapacha wake waliobaki kutoka kijijini kwao Chiwanda Wilaya ya Momba mkoani hapa na kuwalaza hospitalini hapo kwa uangalizi...

 

11 years ago

GPL

TMJ YAWAKA MOTO

Wakiendelea kuzima moto katika Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es salaam. Wagonjwa wakitolewa nje katika Hospital ya TMJ baada ya kuwaka moto. Hospital ya TMJ iliyopo Mikocheni Dar es salaam inawaka moto hivi sasa. Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda waliyopo eneo la tukio, moto huo umesababishwa na shoti ya umeme nyuma ya…

 

10 years ago

Vijimambo

Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake


Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...

 

10 years ago

Vijimambo

JOHN KOMBA AMEFARIKI DUNIA SAA KUMI JIONI KATIKA HOSPITALI YA TMJ

Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba amefariki saa 10 jioni katika hospitali ya TMJ Mikocheni leo hii taarifa zaidi kuwajia kupitia hapa hapa vijimambo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani