JOHN KOMBA AMEFARIKI DUNIA SAA KUMI JIONI KATIKA HOSPITALI YA TMJ
![](http://img.youtube.com/vi/9tnkmhzhF5s/default.jpg)
Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba amefariki saa 10 jioni katika hospitali ya TMJ Mikocheni leo hii taarifa zaidi kuwajia kupitia hapa hapa vijimambo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Kapteni John Komba afariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ
Kutoka chumba cha habari cha modewjiblog , aliyekuwa Mkurugenzi wa TOT na Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi, mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba (pichani) amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ Mikocheni jijini Dar alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mtoto wake Jerry Komba amesema chanzo cha kifo chake ni Kushuka kwa Sukari akiwa nyumbani kwake Mbezi, na kumpeleka Hospitali ambako mauti yalimkuta.
Chanzo cha habari chetu kinasema taratibu za kuhamisha mwili wa marehemu...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_VRPZ16Qxow/VgoFr0uvMKI/AAAAAAAAAxY/1m2r3_ksmYU/s72-c/IYK-Flier-Oct-04.png)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s72-c/ibadaOct18-1.png)
Karibuni Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio - Maombezi Maalum ya Uchaguzi Mkuu wa Uraisi Tanzania: Muda Kuanzia Saa Kumi Kamili hadi Saa Kumi na Mbili Jioni (4:00pm - 6:00pm EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s640/ibadaOct18-1.png)
Karibu tembelea tovuti yetu :- www.iykcolumbus.orgMungu Ibariki Tanzania! Mungu Ibariki Afrika!
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s72-c/ibadaOct18-1.png)
Karibuni Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio - Maombezi Maalum ya Uchaguzi Mkuu wa Uraisi Tanzania: Muda Kuanzia Saa Kumi Kamili hadi Saa Kumi na Mbili Jioni (4:00pm - 6:00pm EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-el9oHk7lkaU/Vh01EOKFsmI/AAAAAAAAAxw/lotIlT2hZmU/s640/ibadaOct18-1.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-h6wXoWdJFeY/VNK3kNNARvI/AAAAAAAAAmo/bKmbjKPVTzU/s72-c/IYK_Valentine.png)
Karibuni Semina na Chakula cha Jioni — Valentine Day Februari 14, 2015 Kuanzia saa kumi na mbili jioni 6:00pm EST
![](http://4.bp.blogspot.com/-h6wXoWdJFeY/VNK3kNNARvI/AAAAAAAAAmo/bKmbjKPVTzU/s1600/IYK_Valentine.png)
10 years ago
Vijimambo10 years ago
CloudsFM22 Oct
YP KUZIKWA LEO SAA KUMI JIONI MAKABURI YA CHANG’OMBE
Aliyekuwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, YP ambaye amefariki usiku wa juzi katika hospitali ya Temeke wakati alipokuwa akitibiwa maradhi ya kifua kikuu (TB) anatarajiwa kuzikwa leo saa kumi katika makaburi ya Chang’ombe jijini Dar es Salaam.
Mkubwa Fella akiwa msibani
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu, YP ambaye jina lake halisi ni Yessaya Ambilikile ameugua kwa kipindi cha takribani miezi miwili kabla ya kufikwa na umauti hapo juzi.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Wgg-l_LesY/VkpA6iFuPHI/AAAAAAAAAyw/IxYjRJMaUrs/s72-c/Mavuno%2BJumamosi%2B28%2BNov%2B2015.jpg)
Karibuni Ibada ya Sikukuu ya Mavuno | Jumamosi 28 Novemba 2015 Saa Kumi kamili jioni!
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Wgg-l_LesY/VkpA6iFuPHI/AAAAAAAAAyw/IxYjRJMaUrs/s1600/Mavuno%2BJumamosi%2B28%2BNov%2B2015.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SDwY5ZZERew/VRv4Ce4CSVI/AAAAAAAAAoI/dt9pWE0wrro/s72-c/IYK%2BPoster%2BPasaka%2BApril%2B05%2B2015.jpg)
Karibu Ibada ya Kiswahili Jumapili hii Aprili 05, 2015 Kuanzia saa kumi kamili jioni
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDwY5ZZERew/VRv4Ce4CSVI/AAAAAAAAAoI/dt9pWE0wrro/s1600/IYK%2BPoster%2BPasaka%2BApril%2B05%2B2015.jpg)