Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Benki ya FBME yawekwa chini ya uangalizi

FBME

FBME

NA MWANDISHI WETU

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) jana ilitangaza kuchukua usimamizi wa Benki ya FBME Tanzania, MTANZANIA Jumamosi linaripoti.

Hatua hiyo imechukuliwa kuanzia juzi Alhamisi kutokana na kashfa zilizoikumba benki hiyo inayomilikiwa na raia wa Lebanon.

Taarifa hizo zimeeleza kuwa uamuzi huo umetokana na Benki Kuu ya Cyprus (CBC) kuchukua uendeshaji tawi la FBME Ltd nchini Cyprus, kufuatia taarifa za Mtandao wa Kupambana na Uhalifu wa Kifedha wa Marekani (FinCEN), kuihusisha na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Gwajima chini ya uangalizi maalumu TMJ

Hali ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima inaendelea vizuri, ingawa haijabainika anasumbuliwa na tatizo gani kiafya hadi hapo vipimo vitakapopatikana.

 

11 years ago

GPL

MAITI YA MBONGO YAWEKWA MOCHWARI CHINI MIEZI 8

Na Waandishi Wetu
VILIO, majonzi vilitawala katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Agosti 7, mwaka huu kufuatia kuwasili kwa mwili wa mwanafunzi wa kidato cha nne, Habiba Yusuph Ally (24) aliyefariki dunia kwa kubakwa nchini China miezi nane iliyopita. Mwili wa Habiba Yusuph Ally (24) ukiwa katika jeneza eneo la uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Tukio hilo linaweka historia ya...

 

10 years ago

Habarileo

Shehe Maduga na wenzake wawekwa chini ya uangalizi

MWANAZUONI na Mwanaharakati maarufu wa Kiislamu, Shehe Waziri Amani Maduga na wenzake wanne wote wakazi wa mkoa wa Morogoro wamewekwa chini ya uangalizi wa miaka miwili huku wakitakiwa kutunza amani ya nchi baada ya kutolewa kwa amri na mahakama kufuatia ombi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi yao.

 

9 years ago

Vijimambo

DAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR

Sehemu ya Dawa za kulevya zilizoteketezwa jana katika Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam uku zikisimamiwa na majaji wa mahakama Kuu, jeshi la Polisi pamoja na mamlaka ya kudhibiti Dawa za kulevya hapa nchini Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison...

 

9 years ago

Michuzi

DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR


 Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto katika kinu hicho Jaji  wa Mahakama Kuu Edison Mkasimongwa alizitaja aina ya dawa hizo kuwa  ni Heroine mifuko 179 na Cocaine mifuko 81 zenye thamani ya Shilingi Bilioni tano ambapo  zilikuwa na Gram 175,000 ambazo zilikamatwa miaka kadhaa Mbezi Jogoo jijini Dar.Jaji wa Mahakama...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA EQUITY KUTOA MIKOPO YA MAJI KWA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI

Mkuu wa Mahusiano ya Biashara wa Benki ya Equity, Eric Shao (katikati) akimkabidhi hati za makubaliano Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Kashilimu Mayunga, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mzunguko wa Makole (Round About) na kuanzisha rasmi utaratibu wa kuwakopesha wananchi wanaohitaji huduma ya Maunganisho mapya ya Maji safi na Maji taka. Hafla hiyo ilifanyika katika mzunguko huo wa Makole jijini Dododma leo. Kulia ni Naibu Meya wa jiji...

 

10 years ago

TheCitizen

FBME still under BoT’s supervision

>The FBME Bank is still under close supervision of the Bank of Tanzania (BoT) as  Mr Lawrence Mafuru remains its statutory manager despite his recent appointment to the post of the Treasury Registrar.

 

11 years ago

TheCitizen

BoT places FBME under investigation

The Bank of Tanzania (BoT) and the Financial Intelligence Unit have placed the Federal Bank of the Middle East (FBME) under investigation after the United States accused the bank of money laundering and financing terrorism and organised crime.

 

10 years ago

TheCitizen

FBME loses bid on branch

 The Nicosia District Court has rejected an application filed by FBME Bank for an interim order halting the expropriation and sale of its Cyprus branch, the Central Bank (CBC) said on Thursday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani