Benki ya FBME yawekwa chini ya uangalizi
FBME
NA MWANDISHI WETU
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) jana ilitangaza kuchukua usimamizi wa Benki ya FBME Tanzania, MTANZANIA Jumamosi linaripoti.
Hatua hiyo imechukuliwa kuanzia juzi Alhamisi kutokana na kashfa zilizoikumba benki hiyo inayomilikiwa na raia wa Lebanon.
Taarifa hizo zimeeleza kuwa uamuzi huo umetokana na Benki Kuu ya Cyprus (CBC) kuchukua uendeshaji tawi la FBME Ltd nchini Cyprus, kufuatia taarifa za Mtandao wa Kupambana na Uhalifu wa Kifedha wa Marekani (FinCEN), kuihusisha na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Gwajima chini ya uangalizi maalumu TMJ
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXJnk6vsCmKMKpdps3sz*HtLEx94aWYkyduzmuOS1Mbt9l9I*PBoDTLIuoENqYffg3kaDjBhn9gmp40utxxdOyp/maiti.jpg)
MAITI YA MBONGO YAWEKWA MOCHWARI CHINI MIEZI 8
10 years ago
Habarileo26 Nov
Shehe Maduga na wenzake wawekwa chini ya uangalizi
MWANAZUONI na Mwanaharakati maarufu wa Kiislamu, Shehe Waziri Amani Maduga na wenzake wanne wote wakazi wa mkoa wa Morogoro wamewekwa chini ya uangalizi wa miaka miwili huku wakitakiwa kutunza amani ya nchi baada ya kutolewa kwa amri na mahakama kufuatia ombi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi yao.
9 years ago
VijimamboDAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR
9 years ago
MichuziDAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI JIJINI DAR
5 years ago
MichuziBENKI YA EQUITY KUTOA MIKOPO YA MAJI KWA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI
10 years ago
TheCitizen18 Feb
FBME still under BoT’s supervision
11 years ago
TheCitizen21 Jul
BoT places FBME under investigation
10 years ago
TheCitizen21 Dec
FBME loses bid on branch