Mbita atimiza siku 47 katika uangalizi maalumu Muhimbili
Dar es Salaam. Brigedia Jenerali mstaafu, Hashimu Mbita ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN), ametimiza siku 47 akiwa katika chumba cha uangalizi maalumu huku wataalamu wakisema hali yake si mbaya wala si ya kuridhisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii umemtafutia kituo cha kulelea watoto wa mitaani cha Nuru Ophans Centre Mama aliyejifungua mapacha wanne na kubakia wawili baada ya kuugua Nimonia kwa ajili ya uangalizi wa karibu.
Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Hospitali hiyo kumfuata mama mwenye watoto hao Aida Nakawala(25) pamoja na mapacha wake waliobaki kutoka kijijini kwao Chiwanda Wilaya ya Momba mkoani hapa na kuwalaza hospitalini hapo kwa uangalizi...
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Gwajima chini ya uangalizi maalumu TMJ
Hali ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima inaendelea vizuri, ingawa haijabainika anasumbuliwa na tatizo gani kiafya hadi hapo vipimo vitakapopatikana.
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA TRUMARK YAANDAA WARSHA MAALUMU KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA TRUMARK YAANDAA WARSHA MAALUMU KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ITAKAYOFANYIKA MACHI, 7, 2015 MLIMANI CITY JIJINI DAR.
10 years ago
GPLKAMPUNI YA TRUMARK YAANDAA WARSHA MAALUMU KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ITAKAYOFANYIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY DAR ES SALAAM MACHI, 7, 2015
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu warsha maalumu iliyoandaliwa na kampuni hiyo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Machi 7, 2015 ukumbi wa Mlimani City. Wengine kutoka kushoto ni maofisa wa Trumark,  Antu Mandoza na Nuru Lyau.  Mratibu wa Warsha hiyo Antu Mandoza (kulia),… ...
5 years ago
CCM BlogSIMIYU: WATU 34 WARUHUSIWA WALIOKUWA KATIKA UANGALIZI WA VIRUSI VYA CORONA
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Bariadi Mjini, Aprili 18, 2020 ambapo ameshiriki katika ibada ambayo waumini hao wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kwa Watanzania wote kuingia katika maombi ya siku tatu ( Aprili 17-19, 2020) kuliombea Taifa ili Mungu aliponye na janga la Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VT_xuSE_JP4/XqrJMxbF4-I/AAAAAAALoqY/Et_jwdifEhsh56vwLhvXi61TdsBwKtoPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BASHUNGWA AWAPONGEZA MUHIMBILI KWA KUTENGENEZA VAZI MAALUMU LA WAUGUZI.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ameupongeza uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) za wauguzi ambayo yanasaidia wahudumu wa afya kujikinga na ugonjwa wa Corona.
“Nawapongeza hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) ya wauguzi Mungu awabariki na kuwalinda wauguzi wetu”.
Aidha, amevipongeza viwanda vyote nchini kwa kuendelea kuhakikisha vinatoa mchango mkubwa kwa kipindi hiki cha kupambana na ugojwa...
“Nawapongeza hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kutengeneza mavazi maalum (coverall) ya wauguzi Mungu awabariki na kuwalinda wauguzi wetu”.
Aidha, amevipongeza viwanda vyote nchini kwa kuendelea kuhakikisha vinatoa mchango mkubwa kwa kipindi hiki cha kupambana na ugojwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s72-c/pic%2B2.jpeg)
JK AWAJULIA HALI WAKUU WA MIKOA YA KILIMANJARO, SIMIYU NA MJUMBE WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA WALIOLAZWA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LXnHj2Xol3w/VDKUqBvna3I/AAAAAAAGoVY/elzVFLs4Gxc/s1600/pic%2B2.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vRIq24d7ya0/VDKUqY3i1xI/AAAAAAAGoVo/NDoj8SIsLjw/s1600/PIC%2B3.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Dw4mMkxxN2M/VDKUqRLb5yI/AAAAAAAGoVc/qOnBUJI3dh4/s1600/PIC%2B4.jpeg)
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba
Bunge Maalumu la Katiba limeomba kuongezewa muda wa siku 60 kuanzia Agosti 5, mwaka huu litakapokutana kwa ngwe ya pili, Mwananchi limebaini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania