Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wa kikristo waachiwa Libya

Wafanyakazi kumi na watatu Wakristo kutoka Misri wameachiliwa huru baada ya kukamatwa nchini Libya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Tume ya Kikristo ya Huduma za (CSSC) wakaribisha rasimi mwaka mpya 2014

 Mkurugenzi Mtendaji wa CSSC Bw. Peter Maduki akichukua Keki maalumu iliyoandaliwa katika kuukaribisha mwaka mpya 2014  Wafanyakazi wakishiriki mchezo wa kuigiza katika sherehe hizo.Kutoka kushoto ni Bw. Renatus Sona, Bw. Prosper Mwendi na Bw. Liberatus Chonya mwenye kipasa sauti aliyekuwa MC katika shughuli hiyoa    Mwenyekiti wa sherehe hiyo Bw. Renatus Sona akikabidhi zawadi kwa mmoja wa washindi katika sherehe hiyo Bi. Yuster Ng’owo  Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi Bw. Renatus...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wauawa Libya

Habari kutoka Libya zinasema wafanyakazi katika kisima kimoja cha mafuta wameuawa katika shambulio moja Jumanne usiku.

 

11 years ago

GPL

KABURI LA SHEHE YAHYA LAJENGWA KIKRISTO

MAKUBWA! Kaburi la aliyekuwa Mnajimu Mashuhuri Afrika Mashariki, marehemu Shehe Yahya Hussein limejengwa tena baada ya hivi karibuni kubomolewa na watu wasiojulikana, lakini sasa limedaiwa kujengwa Kikristo na chini ya kiwango! Kaburi la aliyekuwa Mnajimu Mashuhuri Afrika Mashariki, marehemu Shehe Yahya Hussein baada ya kujengwa tena.
Akizungumza na Risasi Jumamosi juzi jijini Dar, msemaji wa familia ya Shehe Yahya, Maalim...

 

9 years ago

Mwananchi

Madhehebu zaidi ya Kikristo yarekebisha ibada Oktoba 25

Wakati siku ya kupiga kura ikikaribia, madhehebu zaidi yametangaza kubadili muda wa ibada ili kuruhusu waumini wao kushiriki kikamilifu kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba 25.

 

11 years ago

Michuzi

hoja ya haja: Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania Linaturudisha Nyuma

Barua ya Wazi kwa Uongozi wa CCT juu ya Tamko la Mapatano ya Mkutano wa Halmashauri Kuu ya 48 ya Jumuiya ya Kikristo Tanzania la tarehe 3 Julai, 2014.
•   Sio la Kiponyaji, linatonesha Madonda•   Watu wa Mungu hawategemewi Kupotosha, Labda Wamepotoshwa


Na John Nkhundi Si kawaida yangu kulumbana na viongozi wa dini kwa sababu ya heshima waliyonayo katika jamii na matumaini ya waumini wao kwao.  Hata hivyo, leo nimelazimika kuandika baada ya kusoma tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI BERNARD MEMBE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA UMOJA WA AKINAMAMA WA KIKRISTO, ZANZIBAR

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Nne wa Umoja wa Kinamama wa Kikristo (UMAKI) wa Kanisa Angikana Dayosisi ya Zanzibar mjini Unguja jana. Kulia kwake ni Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa Anglikana.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (wa pili kulia), akipata maelezo kuhusu bidhaa za ujasiriamali za kikundi cha Umoja wa Kinamama wa Kikristo (UMAKI) wa Kanisa Angikana Dayosisi ya Zanzibar,...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.


Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu(DHRN) wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Said Msambachi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Chuo cha Utalii Tanzania, uliofanyika katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Adelhe Meru.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani,  Rosada Musoma akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Chuo cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa wizara ya uchukuzi washerehekea vema siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dar

DSC_0566

Sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi, wakiwa wamejipanga tayari kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.

DSC_0576

Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi, wakikimbia katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa,jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.

DSC_0577

Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi wakitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani