Vibaka waua askari, wauawa
WATU watano wanasadikiwa kuwa wamekufa baada ya kuibuka kwa vurugu zinazohusishwa na vibaka katika eneo la Mbagala Kongowe Mzinga katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam. Polisi wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ingawa hawakutoa taarifa kamili kwa kuhofia kuharibu uchunguzi na kuahidi kuwa watatoa taarifa kamili ya vurugu hizo leo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 May
Waasi waua askari wawili wa JWTZ
WANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Askari watatu wa AU wauawa Somalia
11 years ago
BBCSwahili02 May
Askari watano wauawa Libya
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Askari 15 wa Misri wauawa barabarani
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BXXO5euNIhI/XvQ2PkABGqI/AAAAAAAAWto/4k1yE8Jo3eQ_zRCd-gZTsN7V37BiAuKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/5bd4209b5ce5e.jpg)
ASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN
![](https://1.bp.blogspot.com/-BXXO5euNIhI/XvQ2PkABGqI/AAAAAAAAWto/4k1yE8Jo3eQ_zRCd-gZTsN7V37BiAuKrwCLcBGAsYHQ/s400/5bd4209b5ce5e.jpg)
Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.
Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Askari na Waasi wauawa kwa Bomu Syria
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Machafuko nje; askari 9 wa JWTZ wauawa vitani 2013
10 years ago
Mtanzania07 Sep
Askari wawili wauawa, SMG 10, risasi na mabomu vyaporwa
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
NA PETER MAKUNGA, BUKOMBE
HOFU ya usalama wa raia na mali zao imetanda baada ya askari polisi wawili kuuawa na bunduki 10 aina ya SMG kuporwa katika Kituo Kikuu cha Polisi wilayani hapa.
Uporaji huo umefanywa na watu ambao hawajafahamika baada ya kuvamia kituo hicho saa 9:45 alfajiri na kuwashambulia askari polisi waliokuwa zamu ambapo wawili waliuawa na wengine watatu walijeruhiwa.
Mbali na kupora SMG 10, pia inadaiwa wamefanikiwa kupora risasi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdg3z6quiFJ74ppqPXzk5GAI9L8ZZwvLYEtQDrc1n3Uoj8vL4Kg*y4XxPwr7Yly0cQd1oGzm8TbsDKJLZmtu7RBW/246FC8B2000005782897672imagea2_1420494615258.jpg?width=750)
ASKARI WANANE WA IRAQ WAUAWA KWA KUWAPELELEZA ISIS