Machafuko nje; askari 9 wa JWTZ wauawa vitani 2013
>Itakumbukwa Tanzania ilishiriki katika kuondoa machafuko katika nchi mbalimbali hasa DRC Kongo, Sudan na Sudan Kusini kutokana na azimio la Umoja wa mataifa la kulinda amani katika mataifa yenye machafuko ya amani namba 6&7.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Mwanamume akiwa wodi ya wazazi ni sawa na askari mwoga aliyeenda vitani
10 years ago
Uhuru NewspaperAskari wanaswa na sare za JWTZ
Wakutwa na mamilioni ya noti bandia
Na Chibura Makorongo, SimiyuASKARI wa Jeshi la Polisi na Magereza, wametiwa mbaroni kwa kukutwa na noti bandia pamoja na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
10 years ago
Mwananchi06 Oct
JWTZ yamtimua kazi askari
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Askari JWTZ auawa, anyofolewa viungo
Na Shomari Binda, Musoma
ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.
Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mara ilisema askari huyo MT-78227, aliokotwa katika eneo la jeshi Januari 30, mwaka huu saa sita mchana mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo ukiweamo mguu wa kulia, viganja vya mikono yote na sehemu za siri.
Kaimu Kamanda wa...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
JWTZ liwatimue askari wake wanaolidhalilisha
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Askari JWTZ waaswa kuzingatia mafunzo
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Askari wa JWTZ watakaowapiga raia kukiona
11 years ago
Habarileo07 Mar
Askari feki JWTZ jela miaka 3
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mwanamume aliyejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufanya utapeli.
10 years ago
Habarileo07 May
Waasi waua askari wawili wa JWTZ
WANAJESHI wawili wa Tanzania ambao wako kwenye jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), wameuawa katika vita na waasi wa eneo hilo.