Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wauawa kikatili CAR

Umoja wa Mataifa umebaini taarifa za mauaji ya kikatili wanayofanyiwa watoto katika Jamuhuri ya Afrika ya kati

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wanne wauawa kikatili Bukoba

MAUAJI ya kikatili yameibuka tena wilayani Bukoba mkoani Kagera baada ya watu wasiofahamika kusababisha vifo vya watu wanne waliokatwakatwa mapanga na miili yao kufunikwa kwa majani ya migomba, Polisi imesema.

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watano wauawa kikatili Geita

>Watu wanne wakazi wa Kijiji cha Nyankumbu mkoani Geita, wameuawa kikatili kwa kuchomwa moto na mwingine akifia kwenye dimbwi la maji kijijini hapo.

 

11 years ago

Mtanzania

Mama na mtoto wake wauawa kikatili

Arusha Town

Arusha Town

Na Eliya Mbonea, Arusha

MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.

Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.

Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...

 

9 years ago

Habarileo

‘Ngoma huzidisha vitendo vya kikatili kwa watoto’

KAMATI ya Ulinzi wa Mtoto ngazi ya Kijiji cha Manerumango Kaskazini mkoani Pwani imekiri kuwa kipindi cha ngoma ndio wakati ambao vitendo vya ukatili kwa watoto hutokea hasa kupata ujauzito na wengine kulawitiwa.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyemuua kikatili dereva bodaboda, auawa kikatili

WANANCHI wamemuua mtuhumiwa wa mauaji wakati akijaribu kutoroka kutoka mjini Namanyere wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Wakimbizi' wauawa kanisani CAR

Takriban watu 30 wanaoamnika kuwa wakimbizi wameshambuliwa na kuuawa kanisani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 2 wa Ufaransa wauawa CAR

Wanajeshi wawili wa Ufaransa wameuawa katika mapigano na waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

35 wauawa CAR mapigano yakichacha

Kamati ya kimataifa ya msalaba mwekundu imesema kuwa watu 35 wameuawa katika mji mkuu, Bangui katika kipindi cha siku tatu zilizopita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani