Watoto wa familia moja wateketea kwa moto Mbeya
Watoto wawili wa familia moja wameteketea kwa moto huku mama yao akiungua sehemu kubwa ya mwili wake baada ya chumba walichokuwa wamelala kuungua kwa moto katika Mtaa wa Itiji jijini hapa usiku wa kuamkia leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Watoto wawili wateketea kwa moto
WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...
10 years ago
Vijimambo22 Mar
NYUMBA YA UNGUA MOTO NA KUUA WATOTO 7 WA FAMILIA MOJA BROOKLYN. NY
![](http://ecx.images-amazon.com/images/I/41CeHuhTi3L._SX425_.jpg)
Chombo hiki ndiyo kilichosababisha nyumba kuungua moto na kuua watoto 7 Brooklyn New York watoto wa kike wa 3 na wakiume wa 4 wote ni wa familia moja wakiwa wame lala usiku na chombo hiki kukiacha kikiwa na moto baada ya kusahau kukizima. Chombo hiki utumiwa na Wajewish wakati wa kipindi cha Sabbath yani kama kwarezma kwa wakristo.
![](http://i.ytimg.com/vi/q4FGuLQDV_c/0.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5BCdUyK6QlOmW-Dtyr5x7Gd8uoh27csJ7JagI7-SdpExDIAhzYZqpzOt2BZZaKr4LrYlTR8KYODFqcLqwEYVYt7/MOTOMWANZA5.jpg?width=750)
WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Aug
Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto.
WATU tisa wa familia moja wenye asili ya Ziwani, Pemba wamekufa kwenye ajali ya moto ulioteketeza nyumba yao jijini Dar es Salaam, huku baba wa familia akinusurika kwa kuwa alikuwa amekwenda msikitini kuswali. Nyumba hiyo iliyoteketea […]
The post Wazanzibari 9 wa familia moja wafa kwa moto. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Msikiti wa Mtambani wateketea kwa moto
![Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/msikiti-mtambani.jpg)
Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto
Na Mwali Ibrahim, Dar es Salaam
MSIKITI wa Mtambani, uliopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam umeteketea kwa moto.
Moto huo ulianza kuwaka kabla ya sala ya Magharibi katika sehemu ya madarasa ya Shule ya Msingi Mtambani, iliyopo katika majengo ya msikitini huo.
“Moto ulianza kuwaka katika eneo la mabweni ya wanafunzi yaliyopo katika shule hii, lakini kwa bahati nzuri juhudi kubwa zilifanywa ili kuokoa maisha yao.
“Ila kwa bahati mbaya vitu vyote vilivyokuwa...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Bibi na wajukuu wawili wateketea kwa moto
10 years ago
GPLMSIKITI WA HINDU DAR WATEKETEA KWA MOTO