Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msikiti wa Mtambani wateketea kwa moto

Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto

Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto

Na Mwali Ibrahim, Dar es Salaam

MSIKITI wa Mtambani, uliopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam umeteketea kwa moto.

Moto huo ulianza kuwaka kabla ya sala ya Magharibi katika sehemu ya madarasa ya Shule ya Msingi Mtambani, iliyopo katika majengo ya msikitini huo.

“Moto ulianza kuwaka katika eneo la mabweni ya wanafunzi yaliyopo katika shule hii, lakini kwa bahati nzuri juhudi kubwa zilifanywa ili kuokoa maisha yao.

“Ila kwa bahati mbaya vitu vyote vilivyokuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSIKITI WA HINDU DAR WATEKETEA KWA MOTO

Kikosi cha zima moto kikifanya juhudi za kuzima moto huo. Picha juu na chini ni sehemu ya chumba cha msikiti kilichoungua.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msikiti wa Mtambani waungua moto tena

MSIKITI wa Mtambani, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, umeungua moto tena. Awali msikiti huo uliungua moto Agosti 13, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Moto wazuka tena katika Msikiti wa Mtambani leo

Msikiti  wa  Mtambani uliopo Kinondoni jijini Dar es Saam uliungua kwa mara ya pili leo.  Msikiti huo ambao uliungua  mnamo Agosti 13, 2014 katika ghorofa yake ya juu na kuteketeza  eneo kubwa ambalo hadi sasa bado halijanza kufanyiwa  ukarabati.Leo hii moto ambao inasemekana ulianza mmajira ya saa sita na nusu mchana   katika moja ya chumba ambacho wanafunzi wa kidato cha nne  wa kike wamekuwa wakipiga kambi ya kujisomea ikiwa ni katika maandalizi ya kukabiliana na mtihani wao wa...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUUZZZZZZ: MSIKITI WA MTAMBANI ULIOPO KINONDONI, DAR ES SALAAM, UNAUNGUA MOTO HIVI SASA

 Msikiti wa Mtambani ulioko maeneo ya Kinondoni jijini Dar es salaam unawaka moto hivi sasa kama inavyoonekana katika picha na juhudi za kuuzima zinaendelea. Chanzo cha moto huo pamoja na madhara yake bado havijajulikana. Kikosi kazi cha Globu ya Jamii kipo eneo la tukio na tutawapasha habari zaidi baadaye.

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yatoa madawati Mtambani msikiti wa Mtambani

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa msaada wa madawati 60 ya Sh6.56 milioni katika Msikiti wa Mtambani ulioteketea kwa moto na kusababisha hasara ya Sh600 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto wawili wateketea kwa moto

WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...

 

9 years ago

Mwananchi

Bibi na wajukuu wawili wateketea kwa moto

Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia wilayani Mbarali mkoani hapa baada ya nyumba yao ya nyasi walimokuwa wamelala, kuungua moto.

 

10 years ago

Mwananchi

Msikiti Mtambani waungua tena

Mwezi mmoja tangu kuungua kwa Msikiti wa Mtambani uliopo Kinondoni jijini Dar es Salaam, moto mwingine umezuka tena na kuteketeza chumba cha darasa lililokuwa likitumiwa na wanafunzi wa kidato cha nne kwa ajili ya maandalizi ya mtihani wa mwisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani