Msikiti wa Mtambani wateketea kwa moto
Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto
Na Mwali Ibrahim, Dar es Salaam
MSIKITI wa Mtambani, uliopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam umeteketea kwa moto.
Moto huo ulianza kuwaka kabla ya sala ya Magharibi katika sehemu ya madarasa ya Shule ya Msingi Mtambani, iliyopo katika majengo ya msikitini huo.
“Moto ulianza kuwaka katika eneo la mabweni ya wanafunzi yaliyopo katika shule hii, lakini kwa bahati nzuri juhudi kubwa zilifanywa ili kuokoa maisha yao.
“Ila kwa bahati mbaya vitu vyote vilivyokuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMSIKITI WA HINDU DAR WATEKETEA KWA MOTO
10 years ago
Michuzi13 Aug
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Msikiti wa Mtambani waungua moto tena
MSIKITI wa Mtambani, Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, umeungua moto tena. Awali msikiti huo uliungua moto Agosti 13, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: Moto wazuka tena katika Msikiti wa Mtambani leo
10 years ago
MichuziBREAKING NYUUZZZZZZ: MSIKITI WA MTAMBANI ULIOPO KINONDONI, DAR ES SALAAM, UNAUNGUA MOTO HIVI SASA
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Chadema yatoa madawati Mtambani msikiti wa Mtambani
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Watoto wawili wateketea kwa moto
WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Bibi na wajukuu wawili wateketea kwa moto
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Msikiti Mtambani waungua tena