Bibi na wajukuu wawili wateketea kwa moto
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia wilayani Mbarali mkoani hapa baada ya nyumba yao ya nyasi walimokuwa wamelala, kuungua moto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Watoto wawili wateketea kwa moto
WATOTO wawili wa familia moja mjini Tabora, wamefariki dunia baada ya kuteketezwa kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala. Tukio hilo lilitokea jana saa 1 asubuhi katika Mtaa wa Ulaya,...
10 years ago
GPLWATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA
5 years ago
BBCSwahili22 May
Bibi aagizwa na mahakama kufuta picha za wajukuu Facebook kwa kukosa kuomba idhini
10 years ago
Mtanzania14 Aug
Msikiti wa Mtambani wateketea kwa moto
Msikiti wa Mtambani ukiwaka moto
Na Mwali Ibrahim, Dar es Salaam
MSIKITI wa Mtambani, uliopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam umeteketea kwa moto.
Moto huo ulianza kuwaka kabla ya sala ya Magharibi katika sehemu ya madarasa ya Shule ya Msingi Mtambani, iliyopo katika majengo ya msikitini huo.
“Moto ulianza kuwaka katika eneo la mabweni ya wanafunzi yaliyopo katika shule hii, lakini kwa bahati nzuri juhudi kubwa zilifanywa ili kuokoa maisha yao.
“Ila kwa bahati mbaya vitu vyote vilivyokuwa...
11 years ago
CloudsFM25 Jul
KIKONGWE AUAWA KWA KUCHARANGWA MAPANGA AKIWA NA WAJUKUU ZAKE WAWILI
Matukio ya mauaji ya wanawake vikongwe kutokana na ugomvi wa mashamba yameendelea kujitokeza mkoani Shinyanga ambapo huko katika kitongoji na kijiji cha Magwata kata ya Mwamalili katika manispaa ya Shinyanga,mwanamke aitwaye Sayi Nyenje(75) ameuawa kwa kukatwa mapanga shingoni na kiganjani akiwa amelala na wajukuu zake.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari kutoka wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SAP Justus Kamugisha tukio hilo limetokea Julai 23,mwaka huu saa 11 alfajiri.
...
10 years ago
GPLMSIKITI WA HINDU DAR WATEKETEA KWA MOTO
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Watoto wa familia moja wateketea kwa moto Mbeya
10 years ago
VijimamboWATU SITA WATEKETEA KWA MOTO KIPUNGUNI, DAR
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Watu tisa wa familia moja wateketea kwa moto Dar