Bibi aagizwa na mahakama kufuta picha za wajukuu Facebook kwa kukosa kuomba idhini
Sheria ya faragha ni kwamba bibi anahitaji ruhusa ya mtoto wake kuweka picha za wajukuu zake mtandaoni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Bibi na wajukuu wawili wateketea kwa moto
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia wilayani Mbarali mkoani hapa baada ya nyumba yao ya nyasi walimokuwa wamelala, kuungua moto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G8*m*ds1BkeC1*MnSMP0rslz9MrbdyKyn-ulnch1HWFFr8wQfIE9fx1gp2Pu2pX5pQNpDsCunR7iip7ceTl1h2b/facebook.jpg?width=650)
FACEBOOK YALAZIMIKA KUOMBA RADHI
Wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo. Mtandao wa Facebook umewaomba radhi jamii ya wanaume na wanawake waliobadili jinsia yao au (transgender) kwa kusisitiza kuwa lazima watumie majina yao halisi kwenye kurasa sao za mtandao huo.
Kurasa nyingi za watu wa jamii hiyo zilianikwa au kufichuliwa na mtumiaji mmoja mwezi jana...
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama yakataa ombi kufuta kesi ya Uamsho
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kufutwa kwa kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Uamsho, Farid Ahmed na wenzake 21, kwa kuwa haina mamlaka ya kufanya hivyo.
11 years ago
Mwananchi26 May
Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi
Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo.
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Twitter kufuta picha za waliofariki
Twitter kufuta picha za watu waliofariki ambao katika maisha yao walikuwa wanatumia mtandao huo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hKBDXIBXIg0/Xu8sP4WeCwI/AAAAAAALu0Q/ZEOLJJluSycZE6ZEAN_ubka3BbKvdaj6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200619_103933_5.jpg)
MKANDARASI AAGIZWA KUPELEKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI MRADI KWA BODI YA REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hKBDXIBXIg0/Xu8sP4WeCwI/AAAAAAALu0Q/ZEOLJJluSycZE6ZEAN_ubka3BbKvdaj6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_103933_5.jpg)
Na Woinde Shizza,ARUSHA
MKANDARASI anayetekeleza mradi wa Wakala wa...
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Picha ya nguva iliyokataliwa na Facebook
Mwanasiasa mmoja nchini Denmark alishangaa baada ya kuzuiwa kupakia picha ya sanamu ya nguva mtandaoni kwenye Facebook.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Facebook kukutambua bila picha ya uso
Facebook inakusanya taarifa katika picha zako ili kubaini migao ya maoni kutoka kwa marafiki wako pale wanapoweka mtandaoni picha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDObF*Re82R8Ck89kZezXYbEByWCwdDx95p1AjSyktucdvrdQ*2kzsglSXTQHkdH2wTroXuzb6g70XxDCe4yRAs/3.jpg?width=650)
MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI
Kyoko Hamada katika mizunguko yake kama bibi kizee. IMEZOELEKA kuwa binadamu wengi hupenda kuonekana vijana hata kama umri umeenda huku wengine wakitumia baadhi ya vipodozi, dawa za kuficha mvi na kuvaa mavazi yanayofanya waonekane vijana japo si vijana. Mpigapicha Kyoko Hamada (42), yeye aliamua kuwa tofauti na kuishi kwa miaka miwili akijifanya bibi kizee ili kujua hasa wazee wanavyochukuliwa katika jamii. Hamada, ambaye ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania