Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi

Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mahakama yamkosoa rais Banda Malawi.

Mahakama kuu nchini Malawi imetoa hukumu dhidi ya jaribio la rais Joyce Banda kupiga marufuku matokeo ya shughuli ya uchaguzi.

 

11 years ago

GPL

RAIS BANDA AZUIA MATOKEO

Rais Joyce Banda wa Malawi ameamuru kusitishwa shughuli za kuhesabu kura na kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu, aamuru uchaguzi urudiwe ndani ya siku 90, yeye kutogombea!

 

11 years ago

Habarileo

Rais Banda akataa matokeo, afuta uchaguzi

KIU ya Malawi ya kupata Rais wa nchi hiyo baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 20, mwaka huu, huenda ikashindwa kukatika miongoni mwa raia wa nchi hiyo baada ya Rais anayemaliza muda wake, Dk Joyce Banda kutangaza kusitisha shughuli zote za uchaguzi huo.

 

11 years ago

TheCitizen

Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’

Malawi’s President Joyce Banda on Saturday declared this week’s chaotic election “null and void” and called for a fresh vote, throwing the impoverished nation into crisis.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yapinga kufutwa matokeo Zanzibar

Serikali ya Uingereza na ile ya Ireland Kaskazini zimepinga kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yapinga mapinduzi Madagascar

Mahakama ya kikatiba nchini Madagascar imefutilia mbali uamuzi wa bunge kumfuta kazi rais Hery Rajaonarimampianina.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa tume Zanzibar ana mamlaka ya kufuta matokeo?

Uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jecha Salim Jecha ya kufuta matokeo ya uchaguzi umezua maswali mengi kuliko majibu.

 

11 years ago

Habarileo

Mahakama yakataa ombi kufuta kesi ya Uamsho

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kufutwa kwa kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Uamsho, Farid Ahmed na wenzake 21, kwa kuwa haina mamlaka ya kufanya hivyo.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Joyce Banda on Malawi's future

Malawi's outgoing President Joyce Banda speaks about her country's future ahead of elections.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani