Rais Banda akataa matokeo, afuta uchaguzi
KIU ya Malawi ya kupata Rais wa nchi hiyo baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 20, mwaka huu, huenda ikashindwa kukatika miongoni mwa raia wa nchi hiyo baada ya Rais anayemaliza muda wake, Dk Joyce Banda kutangaza kusitisha shughuli zote za uchaguzi huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVWrr91q3wVf0*WW2l8y*9mRbZy3J*bFn5zphXmY279Ancc78s4RETqfIF8QHhyufINaM6r0pfawzI-HSeu2bXlN/JoyceBandasigning.jpg)
RAIS BANDA AZUIA MATOKEO
11 years ago
Mwananchi26 May
Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi
10 years ago
Habarileo03 Aug
Mollel kidedea Arusha, Nyari akataa matokeo
MCHUANO wa makada 12 wa CCM katika kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, umemalizika kwa kura za maoni kuamua kuwa, mfanyabiashara maarufu wa bidhaa za chakula, Philemon Mollel `Monaban’ ndiye mshindi. Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferouz Banno aliyetangaza matokeo hayo jana.
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
John Pombe Magufuli aongoza majimbo 3 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais 2015 katika majimbo matatu kwa mujibu wa taarifa ya NEC ambapo majimbo hayo ni Makunduchi, Paje ya visiwani Zanzibar pamoja na jimbo la Lulindi -Mtwara.
Ifuatayo ni sauti ya Jaji Mstaafu Damian Lubuva katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
CCM Blog01 Nov
DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO
![ma1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/ma1.jpg)
![mag2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/mag2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Rais afuta sherehe za Siku ya Ukimwi
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.