Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mollel kidedea Arusha, Nyari akataa matokeo

MCHUANO wa makada 12 wa CCM katika kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, umemalizika kwa kura za maoni kuamua kuwa, mfanyabiashara maarufu wa bidhaa za chakula, Philemon Mollel `Monaban’ ndiye mshindi. Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferouz Banno aliyetangaza matokeo hayo jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Rais Banda akataa matokeo, afuta uchaguzi

KIU ya Malawi ya kupata Rais wa nchi hiyo baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 20, mwaka huu, huenda ikashindwa kukatika miongoni mwa raia wa nchi hiyo baada ya Rais anayemaliza muda wake, Dk Joyce Banda kutangaza kusitisha shughuli zote za uchaguzi huo.

 

11 years ago

GPL

MATOKEO YA MWISHO KALENGA, CCM WAIBUKA KIDEDEA

Mbunge wa Jimbo la Kalenga (CCM), Godfrey Mgimwa. Mgimwa Godfrey (CCM): 22,962 = 79.32%, Tendega Grace (CHADEMA): 5,853 = 20.22%, Minja Richard (CHAUSTA): 150 = 0.52% Kura halali 28,965, Kura zilizoharibika 576, Kura zilizopigwa 29,541 na Idadi ya wapiga kura walioandikishwa 71,…

 

11 years ago

TheCitizen

Mollel scores 68 strokes to claim title in Arusha

A fast rising national team golfer, Nuru Mollel (pictured), could not hide his delight on Sunday after being declared the overall winner of the Monthly Mug at Arusha Gymkhana Club.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya

Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]

The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...

 

9 years ago

CCM Blog

DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO

ma1Rais Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii mag2Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila pembe ya dunia  mshindi wa ...

 

9 years ago

Habarileo

ACT yashindwa kumshawishi Nyari CCM yampitisha

JITIHADA za viongozi wa juu wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa na mkoani Arusha za kumshawishi mfanyabiashara wa madini Arusha, Justini Nyari kugombea kiti cha ubunge Jimbo la Arusha Mjini, zimeshindikana.

 

9 years ago

Mwananchi

RC Arusha apiga marufuku mikusanyiko kushangilia matokeo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda  amepiga marufuku mikusanyiko na ushangiliaji wowote wa masuala ya kisiasa jijini Arusha na kuwataka wananchi kuwa watulivu wakati wakisubiri Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), kutangaza mshindi wa nafasi ya Uraisi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Utawala mbovu ni matokeo ya kufutwa kwa Azimio la Arusha’

Mwanasiasa mkongwe nchini, Getrude Mongella amesema, kufutwa kwa Azimio la Arusha lililowabana viongozi na wananchi kufuata misingi ya mtawala na mtawaliwa ndiyo chanzo cha matatizo yanayolikumba taifa sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani