Mollel kidedea Arusha, Nyari akataa matokeo
MCHUANO wa makada 12 wa CCM katika kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, umemalizika kwa kura za maoni kuamua kuwa, mfanyabiashara maarufu wa bidhaa za chakula, Philemon Mollel `Monaban’ ndiye mshindi. Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferouz Banno aliyetangaza matokeo hayo jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 May
Rais Banda akataa matokeo, afuta uchaguzi
KIU ya Malawi ya kupata Rais wa nchi hiyo baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 20, mwaka huu, huenda ikashindwa kukatika miongoni mwa raia wa nchi hiyo baada ya Rais anayemaliza muda wake, Dk Joyce Banda kutangaza kusitisha shughuli zote za uchaguzi huo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3CzcjX1*Ys*XXMovCTdTIE4vePl7-PlOnFhk*JFhEG8jEu9N8H-rDkz-CBRql*tEYpZjjxAmcvyRwnufY9aM1*W/13.gif)
MATOKEO YA MWISHO KALENGA, CCM WAIBUKA KIDEDEA
11 years ago
TheCitizen22 Jul
Mollel scores 68 strokes to claim title in Arusha
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-z6LQdPBQj0o/VjIrrcTaCKI/AAAAAAAA018/pwR6FKs4UU8/s72-c/matokeoooo.png)
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya
Weekend iliyopita ulifanyika uchaguzi kwenye jimbo la Arusha mjini kumtafuta Mbunge ambaye ataliongoza jimbo hilo kwa miaka mitano ijayo ambapo Mshindi alitangazwa kuwa Godbless Lema wa CHADEMA, pamoja na ushindi wake kutangazwa aliyekua mgombea wa CCM Philemon Mollel amejitokeza kusema ushindi ni batili. Sababu zote zilizomfanya Mollel kusema ushindi huo ni batili zipo ukibonyeza play […]
The post Baada ya Godbless Lema kutangazwa mshindi ubunge Arusha, Mollel ameyasema haya appeared first...
9 years ago
CCM Blog01 Nov
DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO
![ma1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/ma1.jpg)
![mag2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/mag2.jpg)
9 years ago
Habarileo05 Nov
ACT yashindwa kumshawishi Nyari CCM yampitisha
JITIHADA za viongozi wa juu wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa na mkoani Arusha za kumshawishi mfanyabiashara wa madini Arusha, Justini Nyari kugombea kiti cha ubunge Jimbo la Arusha Mjini, zimeshindikana.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
RC Arusha apiga marufuku mikusanyiko kushangilia matokeo
10 years ago
Mwananchi10 Dec
‘Utawala mbovu ni matokeo ya kufutwa kwa Azimio la Arusha’