ACT yashindwa kumshawishi Nyari CCM yampitisha
JITIHADA za viongozi wa juu wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa na mkoani Arusha za kumshawishi mfanyabiashara wa madini Arusha, Justini Nyari kugombea kiti cha ubunge Jimbo la Arusha Mjini, zimeshindikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 May
ACT-Tanzania kumshawishi Zitto kujiunga nao
MWANACHAMA wa chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), Dk Kitila Mkumbo, amesema atahakikisha anazungumza na viongozi wa chama hicho, ili wamshawishi mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, ajiunge na chama hicho.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PDuFvn5TOvPkdiURzj53O*BFTXiPF5e7fEpLLbf7e3TEQyR*paZWgzM61Cxtr8QgFTEmE4nYl3ZneBUimQssKTFATwd2o68l/NgalawaPHOTO.jpg)
CCM LUDEWA YAMPITISHA NGALAWA KUWANIA UBUNGE
9 years ago
Mwananchi11 Nov
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM yampitisha mtoto wa Kigoda kugombea ubunge Handeni Mjini
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
10 years ago
Habarileo03 Aug
Mollel kidedea Arusha, Nyari akataa matokeo
MCHUANO wa makada 12 wa CCM katika kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, umemalizika kwa kura za maoni kuamua kuwa, mfanyabiashara maarufu wa bidhaa za chakula, Philemon Mollel `Monaban’ ndiye mshindi. Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferouz Banno aliyetangaza matokeo hayo jana.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
TLP yampitisha Mrema kugombea ubunge Vunjo
11 years ago
TheCitizen05 Jun
CCM: We’ll act on our pledges
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
ACT: CCM imepuuza wananchi
CHAMA cha Alliance for Change and Transparance (ACT-Tanzania), kimeeleza kuwa kiburi cha viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na dharau kwa Watanzania ndivyo vinawafanya wasione haja ya kujadili rasimu ya...