Rais afuta sherehe za Siku ya Ukimwi
iku moja baada ya kufuta sherehe za Uhuru, zinazoadhimishwa Desemba 9 ya kila mwaka, jana Rais John Magufuli amefuta maadhimisho ya Siku ya Ukimwi na kuagiza badala yake, fedha ambazo zingetumika zinunulie dawa za kufubaza makali ya Ukimwi (ARV).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Magufuli afuta sherehe za Uhuru
*Asema zitaadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi
*Akerwa na kipindupindu, wasomi wazungumzia uamuzi huo.
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
RAIS Dk. John Magufuli, amefuta sherehe za Uhuru mwaka huu, na kusema Watanzania watasherehekea kwa kufanya usafi wa mazingira nchi nzima ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Agizo la Rais Magufuli, lilitangazwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipofanya ziara Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Ziara hiyo, ililenga...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Kusitishwa kwa maadhimisho ya siku ya Ukimwi agizo la Rais!
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI JUU YA KUSITISHA SHEREHE ZA SIKU YA UKIMWI NCHINI
10 years ago
Bongo503 Mar
Wizkid amkosha Rais wa Gambia kwenye sherehe za Uhuru wa nchi hiyo, Rais amuomba arudie show siku iliyofata
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WQUbL4QlA60/VHyjTdttiVI/AAAAAAADPOU/FSKDllq3KO8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI, KITAIFA MKOANI NJOMBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-WQUbL4QlA60/VHyjTdttiVI/AAAAAAADPOU/FSKDllq3KO8/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GLHgJ0yHvMI/VHyjVfxqLQI/AAAAAAADPOg/DGyCGhrCkyo/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-IpGSfU_bxgI/VNI4GEysH6I/AAAAAAADXW8/rpzAT39LpuI/s72-c/ld1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA SHEREHE ZA SIKU YA SHERIA NCHINI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-IpGSfU_bxgI/VNI4GEysH6I/AAAAAAADXW8/rpzAT39LpuI/s1600/ld1.jpg)
PICHA NA IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-YQMP2CTLyMM/VNI4GdYcOqI/AAAAAAADXXA/SpZ5exEPEOY/s1600/ld2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9ITV0ASZqqI/VNI4GR-kyZI/AAAAAAADXXE/JDXnJpn9t4Q/s1600/ld3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDLMPTDTZcs/VNI4Ib0e01I/AAAAAAADXXU/gAoGrLN93uQ/s1600/ld4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_-YHFroSZBs/VNI4IoFbIwI/AAAAAAADXXY/q5p4ijZbGzw/s1600/ld5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s72-c/1..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUZALIWA MWANZILISHI WA USKAUTI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s1600/1..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wIcs3F6RED8/VOiS2mOUexI/AAAAAAADZ_M/EyuVdBHWo0o/s1600/001.jpg)
11 years ago
Habarileo25 May
Rais Banda akataa matokeo, afuta uchaguzi
KIU ya Malawi ya kupata Rais wa nchi hiyo baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 20, mwaka huu, huenda ikashindwa kukatika miongoni mwa raia wa nchi hiyo baada ya Rais anayemaliza muda wake, Dk Joyce Banda kutangaza kusitisha shughuli zote za uchaguzi huo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5PAPc2rdqdM/Xm5_KFjNeJI/AAAAAAALjyk/P0fmnsyaLx0eSjEV8wVZT3iYMNyQI9zgwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bn0493be18f97u7d2_800C450.jpg)
Rais wa Kenya afuta safari ya Italia kutokana na hofu ya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-5PAPc2rdqdM/Xm5_KFjNeJI/AAAAAAALjyk/P0fmnsyaLx0eSjEV8wVZT3iYMNyQI9zgwCLcBGAsYHQ/s640/4bn0493be18f97u7d2_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, hadi kufikia Machi 14, watu 17,660 walikuwa wameambukizwa kirusi cha corona Italia huku wengine 1,268 wakiwa wamepoteza maisha.
Kwa mujibu wa ripoti katika gazeti la Daily Nation, Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya...