Magufuli afuta sherehe za Uhuru
*Asema zitaadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi
*Akerwa na kipindupindu, wasomi wazungumzia uamuzi huo.
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
RAIS Dk. John Magufuli, amefuta sherehe za Uhuru mwaka huu, na kusema Watanzania watasherehekea kwa kufanya usafi wa mazingira nchi nzima ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Agizo la Rais Magufuli, lilitangazwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipofanya ziara Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Ziara hiyo, ililenga...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-LM3yQlrVkDA/VlxNuRueOZI/AAAAAAAA1Wo/4E-zUINoTfI/s72-c/IMG-20151130-WA0054.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Rais afuta sherehe za Siku ya Ukimwi
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Magufuli afuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bMvaZ449KFw/VI_0a0u3p1I/AAAAAAADSEw/SDCobBriVhA/s72-c/chicago%2B1.jpg)
SHEREHE YA UHURU CHICAGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMvaZ449KFw/VI_0a0u3p1I/AAAAAAADSEw/SDCobBriVhA/s1600/chicago%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LyIUCXwpOuQ/VI_0asWVdKI/AAAAAAADSEo/Qss3PPrxFBo/s1600/chicago%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8ywd_6gAUDM/VI_0bV-iTpI/AAAAAAADSE0/ckTE7txOsTM/s1600/chicago%2B3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8z4r93OGNdE/VI_0bYWODvI/AAAAAAADSE8/ZNn09t5DTss/s1600/chicago%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xFjErosuxUI/VI_0c9RwG4I/AAAAAAADSFM/eO8B8GD1LNA/s1600/chicago%2B5.jpg)
9 years ago
Habarileo25 Nov
Usitishwaji sherehe uhuru wapongezwa
UTENDAJI wa Rais John Magufuli unaendelea kuwavutia watu wengi na hatua yake ya kufuta shamrashamra za sikukuu ya Uhuru, imepongezwa kuwa itaokoa fedha za walipa kodi, huku watendaji wa serikali wakianza kutekeleza agizo la kufanya usafi siku hiyo ili kukabiliana na kipindupindu.
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA UHURU DMV YAFANA
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Sherehe za Uhuru zaokoa mabilioni
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o7Fl0oqtu2g/VYxSpkaTGkI/AAAAAAAHkHI/l-IA1xncBe4/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
JK AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 40 ZA UHURU WA MSUMBIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-o7Fl0oqtu2g/VYxSpkaTGkI/AAAAAAAHkHI/l-IA1xncBe4/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--WJ2Cz9_JpE/VYw4bUzCwZI/AAAAAAAHkBI/nVC3fcVPHg4/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June...