Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli afuta sherehe za Uhuru

Magufuli+PHOTO*Asema zitaadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi

*Akerwa na kipindupindu, wasomi wazungumzia uamuzi huo.

 

NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

RAIS Dk. John Magufuli, amefuta sherehe za Uhuru mwaka huu, na kusema Watanzania watasherehekea kwa kufanya usafi wa mazingira nchi nzima ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Agizo la Rais Magufuli, lilitangazwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipofanya ziara Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Ziara hiyo, ililenga...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Rais afuta sherehe za Siku ya Ukimwi

iku moja baada ya kufuta sherehe za Uhuru, zinazoadhimishwa Desemba 9 ya kila mwaka, jana Rais John Magufuli amefuta maadhimisho ya Siku ya Ukimwi na kuagiza badala yake, fedha ambazo zingetumika zinunulie dawa za kufubaza makali ya Ukimwi (ARV).

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli afuta hati ya hekta 1,870 Kapunga

Rais John Magufuli amemaliza mgogoro wa ardhi baina ya wananchi wa Kapunga na mwekezaji wa Kapunga Rice Project Limited na sasa hekta 1,780 zitakuwa mali ya wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli afuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli amefuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo hadi hapo maamuzi mengine yatakapotolewa.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA UHURU CHICAGO

 Watanzania waliojitokeza kwenye sherehe ya Uhuru miaka 53 siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 wakipata picha ya pamoja na Mhe. Liberata Mulamula Balozi wa Tanzania nchini Marekani ambaye ndiye aliyekua mgeni rasmi kwenye sherehe hizo. Mmoja ya Watanzania aliyehudhuria sherehe ya miaka 53 ya Uhuru akipata picha ya kumbukumbu na Mhe. Balozi Mulmula. Picha ya pamoja. Watanzania wa Chicago wakipata picha ya kumbukumbu na Mhe. Balozi Liberata Mulamula. Wakiwemo Watanzania kutoka Minnesota Afisa...

 

9 years ago

Habarileo

Usitishwaji sherehe uhuru wapongezwa

UTENDAJI wa Rais John Magufuli unaendelea kuwavutia watu wengi na hatua yake ya kufuta shamrashamra za sikukuu ya Uhuru, imepongezwa kuwa itaokoa fedha za walipa kodi, huku watendaji wa serikali wakianza kutekeleza agizo la kufanya usafi siku hiyo ili kukabiliana na kipindupindu.

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA UHURU DMV YAFANA

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Sherehe za Uhuru zaokoa mabilioni

Rais John Magufuli ameokoa mabilioni ya fedha ambayo yangetumika kwenye maadhimisho ya Siku ya Uhuru baada ya kufuta sherehe na kuagiza siku hiyo kutumika kusafisha mazingira ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu nchini.

 

10 years ago

Michuzi

JK AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 40 ZA UHURU WA MSUMBIJI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiukagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya kuwasili jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 ya uhuru wa Msumbiji zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Machava jijini Maputo.
Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani