Magufuli afuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli amefuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo hadi hapo maamuzi mengine yatakapotolewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jyq9MgShSr4/XnDYcAESiMI/AAAAAAALkJI/5in4bGuPbPoxN7LCxrhZ5QrUn8uE3WFKwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9c9d8dd-b744-4f70-9a9f-9a1a83d383d9.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:SERIKALI YAZIFUNGA SHULE ZOTE KUANZIA LEO SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyq9MgShSr4/XnDYcAESiMI/AAAAAAALkJI/5in4bGuPbPoxN7LCxrhZ5QrUn8uE3WFKwCLcBGAsYHQ/s640/a9c9d8dd-b744-4f70-9a9f-9a1a83d383d9.jpg)
SERIKALI imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Machi 17, 2020.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo (Jumanne, Machi 17, 2020) wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salam.
Amesema wanafuzi wa kidato cha sita walipaswa kuanza mitihani Mei 4, 2020 lakini nao pia watapaswa kusibiri Wizara ifanye utaratibu mwingine kulingana na matokeo ya hali ya maambukizi.
...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c-XCwfgBDxw/Xm-BWr75pFI/AAAAAAAC1Cw/hl6d1x82imATyq2NP5iJpKi9cr5ViC8nACLcBGAsYHQ/s72-c/Wabunge-wakiwa-ndani-ya-ukumbi-wa-Bunge-la-Tanzania.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA Safari za Rais Kikwete Nje ya Nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s72-c/mmmm.png)
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA SAFARI ZA RAIS KIKWETE NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZXighxXcyI/VfrnIlsu__I/AAAAAAAH5m4/H24OgrEXnbg/s640/mmmm.png)
Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s72-c/2.-1-768x512.jpg)
MANYANYA AAGIZA BIDHAA ZA SAMAKI ZOTE ZINAZIUZWA NJE YA NCHI KUWEKEWA ALAMA ILI KUONYESHA KUWA ZINATOKA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RCRb0-lSfa0/XsldA4nyjZI/AAAAAAALrY0/zIPOBGqaw54y7vknjfoz5xFs7RhTa-wMwCLcBGAsYHQ/s640/2.-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/3.-1024x683.jpg)
Wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata samaki cha Tanzania Fish Processors Ltd wakiendelea na kazi ya uchakataji wa samakiwanaosafirishwa na kuuzwa katika nchi mbalimbali
Picha na Eliud Rwechungura – Wizara ya viwanda na Biashara...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-KUjOL8Qy3DU/VPnCAKiTivI/AAAAAAAHIC0/fLHMio3x0YE/s72-c/mot_03.jpg)
TRL YASITISHA SAFARI ZA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-KUjOL8Qy3DU/VPnCAKiTivI/AAAAAAAHIC0/fLHMio3x0YE/s1600/mot_03.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Wahandisi na Mafundi wa TRL wako katika eneo la tukio wakifanya tathmini ya jinsi zoezi la ukarabati utakavyofanyika na kwa muda gani.
Ikifafanua zaidi taarifa imeeleza kuwa tathmini ya mafundi hao...
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Wizara yatolea ufafanuzi Safari za Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete Nje ya Nchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete.
Taarifa kwa Vyombo vya Habari -Ziara za Rais .docx
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-7kkeo3b1II8/VISse843A0I/AAAAAAAARiw/iekIGNHboeY/s72-c/blogger-image--1234830214.jpg)
DIAMOND PLATNUM - ATAKUWA SAFARI LEO KUANZIA SAA MBILI DINNER & MINGLE
![](https://lh3.googleusercontent.com/-7kkeo3b1II8/VISse843A0I/AAAAAAAARiw/iekIGNHboeY/s640/blogger-image--1234830214.jpg)
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Magufuli: Safari za nje zingejenga kilomita 400
Rais John Magufuli amesisitiza uamuzi wake wa kuzifuta safari za nje kwa watendaji wa Serikali akisema ni mzigo kwa Taifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania