BREAKING NEWZZZZZZZ:SERIKALI YAZIFUNGA SHULE ZOTE KUANZIA LEO SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyq9MgShSr4/XnDYcAESiMI/AAAAAAALkJI/5in4bGuPbPoxN7LCxrhZ5QrUn8uE3WFKwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9c9d8dd-b744-4f70-9a9f-9a1a83d383d9.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
SERIKALI imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Machi 17, 2020.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo (Jumanne, Machi 17, 2020) wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salam.
Amesema wanafuzi wa kidato cha sita walipaswa kuanza mitihani Mei 4, 2020 lakini nao pia watapaswa kusibiri Wizara ifanye utaratibu mwingine kulingana na matokeo ya hali ya maambukizi.
...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Magufuli afuta safari zote za nje ya nchi kuanzia leo
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kilombero yazifunga shule bubu
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilombero imezifungia shule bubu zote na kupiga marufuku shule binafsi za sekondari zisizosajiliwa kuendesha shughuli zake katika wilaya hiyo. Akizungumza na wadau wa elimu katika Tarafa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4eetaZGuG7s/XvSUp2kgvoI/AAAAAAALvYE/iT4wwxmtXAoHAMkZ2NlC93AWM3ZZ4xmgwCLcBGAsYHQ/s72-c/congo-boaot.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:AJALI YA BOTI KIGOMA,TISA WAFARIKIKI DUNIA
WATU tisa wamefariki baada ya boti la abiria kuzama katika ziwa Tanganyika.
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi MARTIN OTTIENO amethibitsha kutokea kwa ajali hiyo katika eneo la Rasini na kusema kuwa Boti ilo liitwalo mv Nzeimana linalofanya safari zake kati ya Kijiji cha Sibwesa na ikola limezama likiwa na abiria 60, ambapo abiria 51 wameokolewa.
Aidha Kamanda OTTIENO amesema chanzo cha ajali hiyo ni upepo mkali uliosababisha boti hilo kukosa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-tKIygr1Kie8/XuiNGIdIUDI/AAAAAAAC7tA/rceEwuTobBki-eKucUr6hp0P3OlYPuEFACLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
RAIS MAGUFULI ATANGAZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOKUWA ZIMEFUNGWA KISA CORONA, JUNI, 29, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKIygr1Kie8/XuiNGIdIUDI/AAAAAAAC7tA/rceEwuTobBki-eKucUr6hp0P3OlYPuEFACLcBGAsYHQ/s400/6.jpg)
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumanne June 16, 2020 wakati akilihutubia Bunge kabla ya kulifunga ili kupisha mchakato wa uchaguzi wa Rais, Bunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Octoba Mwaka huu
Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana
“Kutokana na mwendendo wa corona kuendelea kuwa mzuri, corona imepungua sana, naomba nitangaze...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s72-c/IMG_9819.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:MBUNGE WA CHADEMA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI IRINGA AKITUHUMIWA KUGAWA FEDHA KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s1600/IMG_9819.jpg)
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YATAJA SABABU ZA KUCHELEWA KUTOA TAARIFA ZA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI
Aidha Waziri Ummy amesisitiza kuwa vifo vinavyotokana na Corona vipo na kesi za maambukizi zipo, hivyo wananchi wanatakiwa waendelee kuchukua tahadhari ili kuepuka kuambukizwa huku akiwataka kufuata taarifa sahihi na...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Oo--YpFJZCE/VgpC9eE3KsI/AAAAAAAD_Ds/pLLi6Q6wxaE/s72-c/Kamanda%2BRas%2BMakunja%2Bkatika%2BMagufulika%2BStyle%2BHAPA%2BKAZI%2BTU%2523%2B%25281%2529.jpg)
FFU-UGHAIBUNI WANAZO SABABU ZOTE ZA KUMKUBALI JOHN MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oo--YpFJZCE/VgpC9eE3KsI/AAAAAAAD_Ds/pLLi6Q6wxaE/s640/Kamanda%2BRas%2BMakunja%2Bkatika%2BMagufulika%2BStyle%2BHAPA%2BKAZI%2BTU%2523%2B%25281%2529.jpg)