RAIS MAGUFULI ATANGAZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOKUWA ZIMEFUNGWA KISA CORONA, JUNI, 29, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-tKIygr1Kie8/XuiNGIdIUDI/AAAAAAAC7tA/rceEwuTobBki-eKucUr6hp0P3OlYPuEFACLcBGAsYHQ/s72-c/6.jpg)
Rais Magufuli ametangaza kufungua shule zote nchini na shughuli zingine za kijamii zilizokuwa zimesitishwa kisa ugonjwa wa Corona
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumanne June 16, 2020 wakati akilihutubia Bunge kabla ya kulifunga ili kupisha mchakato wa uchaguzi wa Rais, Bunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Octoba Mwaka huu
Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana
“Kutokana na mwendendo wa corona kuendelea kuwa mzuri, corona imepungua sana, naomba nitangaze...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VmxRKW2wrZQ/XuiPHzESl-I/AAAAAAALt_M/_Gq7VdYsKaUq_uoFscoeLeFSI-OmidE2QCLcBGAsYHQ/s72-c/_109217029_magufuli.jpg)
RAIS DK. JOHN MAGUFULI ATANGAZA SHULE ZOTE ZIFUNGULIWE JUNI 29,2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-VmxRKW2wrZQ/XuiPHzESl-I/AAAAAAALt_M/_Gq7VdYsKaUq_uoFscoeLeFSI-OmidE2QCLcBGAsYHQ/s640/_109217029_magufuli.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
RAIS Dk.John Magufuli ametangaza rasmi kuwa Juni 29,2020 shule zote ambazo zilikuwa zimefungwa kwasababu ya janga la Corona zifunguliwe huku akitumia nafasi hiyo pia kutangaza kurejesha shughuli zote za kijamii na kimaendeleo ambazo nazo zilisimama.
Ametoa kauli hiyo leo Juni 16,2020 Bungeni Mjini Dodoma wakati akitoa hotuba ya kuvunja Bunge la 11 ambalo limemaliza muda wake rasmi leo,...
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Rais Magufuli atangaza kufungua shule zote Juni, 29
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Rais Magufuli atangaza vyuo vikuu kufunguliwa Juni 1
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s72-c/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS MAGUFULI ASEMA TUMEISHINDA CORONA, SHULE ZA CHEKECHEA,MSINGI MBIONI KUFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QAAKciogh_s/Xto0r2DQCdI/AAAAAAALssI/H7P5QrMZdo0ERp9LbyjhQNB-6-WFkaxugCLcBGAsYHQ/s400/EDdEGvdWwAEj_j9-660x400.jpg)
RAIS Dk.John Magufuli amesema kwamba Corona imepungua kwa kiasi kikubwa nchini na hivyo shule za chekechekea na shule za msingi siku za hivi karibuni.
Ametoa kauli hiyo leo Juni 5 Mjini Dodoma wakati akizungumza kwenye Mkutano wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) uliofanyika Uwanja wa Jamhuri na kuhudhuria na viongozi wa ngazi mbalimbali Serikalini pamoja na walimu wa kada zote.
Dk.Magufuli ametumia nafasi hiyo kueleza kuwa anamshukuru Mungu na anawashukuru walimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
BREAKING: VYUO VYOTE NCHINI KUFUNGULIWA JUNI,1,2020, MAAMBUKIZI YAPUNGUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFK4Y9mqOxk/XsY7L-6D5EI/AAAAAAALrEg/pz58F5sz7YwHx44hZ8U5XBr8TNMvRvpqwCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
Rais Magufuli ametoa maagizo hayo leo Ikulu - Chamwino jijini Dodoma alipokuwa anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, Rais Magufuli ameagiza Wizara ya Elimu na Fedha kuhakikisha Wanafunzi hao wa Vyuo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cPh-K-nP1JI/XnnSaP4VzVI/AAAAAAAEGaY/My26ik4PTYMMerVwoSgHAeUf5Rj5-Tl7gCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Ubongo yatoa programu za watoto kujifunza majumbani wakati shule zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona
Takwimu zilizotolewa na shirika la umoja wa Mataifa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
9 years ago
Michuzi24 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI
![pombe](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pombe1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jyq9MgShSr4/XnDYcAESiMI/AAAAAAALkJI/5in4bGuPbPoxN7LCxrhZ5QrUn8uE3WFKwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9c9d8dd-b744-4f70-9a9f-9a1a83d383d9.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:SERIKALI YAZIFUNGA SHULE ZOTE KUANZIA LEO SABABU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-jyq9MgShSr4/XnDYcAESiMI/AAAAAAALkJI/5in4bGuPbPoxN7LCxrhZ5QrUn8uE3WFKwCLcBGAsYHQ/s640/a9c9d8dd-b744-4f70-9a9f-9a1a83d383d9.jpg)
SERIKALI imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Machi 17, 2020.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo (Jumanne, Machi 17, 2020) wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salam.
Amesema wanafuzi wa kidato cha sita walipaswa kuanza mitihani Mei 4, 2020 lakini nao pia watapaswa kusibiri Wizara ifanye utaratibu mwingine kulingana na matokeo ya hali ya maambukizi.
...