RAIS DK. JOHN MAGUFULI ATANGAZA SHULE ZOTE ZIFUNGULIWE JUNI 29,2020
*Pia kurejesha shughuli zote zilizosimama...asema maisha lazima sasa yaendelee
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
RAIS Dk.John Magufuli ametangaza rasmi kuwa Juni 29,2020 shule zote ambazo zilikuwa zimefungwa kwasababu ya janga la Corona zifunguliwe huku akitumia nafasi hiyo pia kutangaza kurejesha shughuli zote za kijamii na kimaendeleo ambazo nazo zilisimama.
Ametoa kauli hiyo leo Juni 16,2020 Bungeni Mjini Dodoma wakati akitoa hotuba ya kuvunja Bunge la 11 ambalo limemaliza muda wake rasmi leo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATANGAZA KUFUNGULIWA SHULE ZOTE ZILIZOKUWA ZIMEFUNGWA KISA CORONA, JUNI, 29, 2020
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Jumanne June 16, 2020 wakati akilihutubia Bunge kabla ya kulifunga ili kupisha mchakato wa uchaguzi wa Rais, Bunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Octoba Mwaka huu
Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana
“Kutokana na mwendendo wa corona kuendelea kuwa mzuri, corona imepungua sana, naomba nitangaze...
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Rais Magufuli atangaza kufungua shule zote Juni, 29
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Rais Magufuli atangaza vyuo vikuu kufunguliwa Juni 1
9 years ago
VijimamboFFU-UGHAIBUNI WANAZO SABABU ZOTE ZA KUMKUBALI JOHN MAGUFULI
9 years ago
Press03 Nov
Tanzania: Our next Commander in Chief, Dr John Pombe Magufuli, (2015-2020)
Do we expect any positive impacts on the tourism sector?
few days has passed since the announcement of the winner of presidential chair of the United Republic of Tanzania by the retired Judge Damian Lubuva from National Electoral Commission (NEC) -Dr. John Pombe Magufuli won with 58.46% of the total valid votes.
On his side, Andrea Guzzoni, Country manager of Jovago Tanzania expresses his admiration of the entire electoral process which was undertaken in a peaceful environment.
“A Peaceful...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATANGAZA MAOMBOLEZO YA SIKU TATU YA KIFO CHA RAIS NKURUNZIZA WA BURUNDI
Rais Dk. John Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia kesho Juni 13, 2020 kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kilichotokea Juni 09, 2020 nchini Burundi.
Taarifa iliyotolewa na Ikulu jijini Dodoma imesema katika kipindi chote cha siku tatu za maombolezo hayo ambayo yataanza leo, hadi keshokuwa bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoti.
Taarifa hiyo imesema, Rais Magufuli ameeleza kuwa Tanzania inatoa heshima hiyo kwa kifo...
5 years ago
CCM Blog5 years ago
Michuzi9 years ago
CCM Blog10 Dec
RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI