Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sherehe za Uhuru zaokoa mabilioni

Rais John Magufuli ameokoa mabilioni ya fedha ambayo yangetumika kwenye maadhimisho ya Siku ya Uhuru baada ya kufuta sherehe na kuagiza siku hiyo kutumika kusafisha mazingira ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA UHURU CHICAGO

 Watanzania waliojitokeza kwenye sherehe ya Uhuru miaka 53 siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 wakipata picha ya pamoja na Mhe. Liberata Mulamula Balozi wa Tanzania nchini Marekani ambaye ndiye aliyekua mgeni rasmi kwenye sherehe hizo. Mmoja ya Watanzania aliyehudhuria sherehe ya miaka 53 ya Uhuru akipata picha ya kumbukumbu na Mhe. Balozi Mulmula. Picha ya pamoja. Watanzania wa Chicago wakipata picha ya kumbukumbu na Mhe. Balozi Liberata Mulamula. Wakiwemo Watanzania kutoka Minnesota Afisa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA UHURU DMV YAFANA

Sherehe ya kusherehekea miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya Jumamosi Desemba 6, 2014 ndani ya Hotel ya Sheraton iliyopo katikati ya jiji la Silver Spring, Maryland na kuhudhuriwa na Watanzania kutoka majimbo mbalimbali na wengine wakitokea Tanzania.
Katika sherehe hiyo iliyoratibiwa na maporomota wakubwa nchini Marekani Phanuel Ligate, Innocent Batamilwa na Dickson Mkama wakishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani huku mgeni rasmi akiwa...

 

9 years ago

Habarileo

Usitishwaji sherehe uhuru wapongezwa

UTENDAJI wa Rais John Magufuli unaendelea kuwavutia watu wengi na hatua yake ya kufuta shamrashamra za sikukuu ya Uhuru, imepongezwa kuwa itaokoa fedha za walipa kodi, huku watendaji wa serikali wakianza kutekeleza agizo la kufanya usafi siku hiyo ili kukabiliana na kipindupindu.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli afuta sherehe za Uhuru

Magufuli+PHOTO*Asema zitaadhimishwa kwa wananchi kufanya usafi

*Akerwa na kipindupindu, wasomi wazungumzia uamuzi huo.

 

NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

RAIS Dk. John Magufuli, amefuta sherehe za Uhuru mwaka huu, na kusema Watanzania watasherehekea kwa kufanya usafi wa mazingira nchi nzima ili kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Agizo la Rais Magufuli, lilitangazwa Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipofanya ziara Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Ziara hiyo, ililenga...

 

10 years ago

CloudsFM

SHEREHE ZA UHURU ZILIVYOFANA UWANJA WA TAIFA

RAIS Jakaya Kikwete ameongoza Watanzania katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanganyika, huku msisitizo katika sherehe hizo ukiwa ni kuwataka kutokubali kurubuniwa na kuharibu amani iliyopo na badala yake waidumishe na kujituma.

Pia baadhi ya viongozi walioshiriki maadhimisho hayo wamepongeza juhudi za Rais Kikwete katika kusimamia mchakato wa Katiba hadi kufikia hatua ya kupigiwa kura ya maoni, na kuwataka wananchi kujitokeza kuipigia kura Katiba hiyo Inayopendekezwa kwa kuwa inajali...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 53 ZA UHURU WA TANZANIA -FINLAND

Jumuiya ya Urafiki wa Wafini na Watanzania inayofuraha kukualika kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 53 ya uhuru wa Tanzania. Mgeni rasmi anatazamiwa kuwa balozi wa Tanzania mh Dora Mmari Msechu anaye hudumia nchi za Baltic na Nordic.
Hii itakuwa ziara yake ya kwanza nchini Finland. Karibu kushiriki nasi kwenye mijadala,chakula cha kitanzania,buradani.
Wageni mnaotoka nje ya Finland unaweza wasiliana nasi kwa maelezo zaidi kuhusu malazi kabla ya November 30, 2014. 
Maelezo zaidi ingia kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

JK AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 40 ZA UHURU WA MSUMBIJI

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiukagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya kuwasili jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 ya uhuru wa Msumbiji zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Machava jijini Maputo.
Rais wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi amkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete katika uwanja wa Michezo wa Michezo wa Machava jijini Maputo Msumbiji kuhudhuria sherehe za miaka 40 za Uhuru wa Msumbiji.Msumbiji ilipata uhuru wake tarehe25 June...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAOMOND USIPIME ANOGESHA SHEREHE YA UHURU DMV

Prezida wa Wasafi Diamond Platnumz akiwa pamoja na wacheza showa wake Roma Tonsa na Moses Iyobo wakitoa burudani katika kunogesha sherehe ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika Sheraton Hotel ya Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na mashabiki wake kutoka kila pembe ya Marekani huku mashabiki wengine wakitokea Tanzania, Mzuka unazidi kupanda Diamond Platnumz asaula koti lake.Balozi akimshukuru Diamond kwa kuwezesha kunogesha usiku wa Uhuru wa Tanzania Bara na...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yafuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru

Serikali imefuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa tanganyika na badala yake siku hiyo kwa mwaka huu itatumika kufanya usafi nchini kote kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.

Agizo la serikali la kufuta maadhimisho hayo mwaka huu, limetolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dakta john pombe magufuli, kupitia katibu mkuu kiongozi, ombeni sefue.

Hii ni mara ya kwanza kwa serikali kufanya hivyo katika siku ya uhuru ambayo huadhimishwa disemba tisa kila mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani