Serikali yafuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru
Serikali imefuta sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa tanganyika na badala yake siku hiyo kwa mwaka huu itatumika kufanya usafi nchini kote kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu.
Agizo la serikali la kufuta maadhimisho hayo mwaka huu, limetolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dakta john pombe magufuli, kupitia katibu mkuu kiongozi, ombeni sefue.
Hii ni mara ya kwanza kwa serikali kufanya hivyo katika siku ya uhuru ambayo huadhimishwa disemba tisa kila mwaka...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AHUDHULIA KATIKA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UHURU WA MALAWI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHMb5_IdvdA/U7qZxG0YEqI/AAAAAAAFvgk/OO1af0rbSd4/s1600/05.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR, UWANJA WA UHURU DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mFfQ7If7_bM/VTz2j-qvdnI/AAAAAAADkxs/KrMx6XkoeXM/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QpehaBVsXV8/VTz3Cktu2uI/AAAAAAADkyc/7h5VvYQYyQI/s1600/4.jpg)
11 years ago
TZToday27 Apr
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhFZmrjVFk2v5EQSkvhtOa82tTlzw*SelvIl8Rz4inTGHxStY7qey0KROkbfom3b6w7oSXk-T7i392QZQQX*ytX/jkuhuru.jpg?width=650)
RAIS JK AWASILI UWANJA WA UHURU KUONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANGANYIKA
Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Uhuru kwa maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika hivi punde. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa sasa amewasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika uliopatikana Desemba 9, 1961.
10 years ago
GPLTASWIRA YA MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MUUNGANO UWANJA WA UHURU JIJINI DAR
Baadhi ya vikosi vya watumbuizaji katika sherehe hiyo vikionekana kupanda gari kwa ajili ya kuondoka uwanjani hapo Wanafunzi wa shule mbalimbali za jijini Dar es Salaam wakitawanyika kutoka Uwanja wa Uhuru.…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oOGu6BYFmjw/default.jpg)
MAADHIMISHO YA MIAKA 53 YA UHURU WA TANZANIA BARA
11 years ago
Mwananchi09 Dec
JK kuongoza maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru leo
‘Happy birthday Tanganyika’. Miaka 52 imetimia tangu Tanganyika (sasa Tanzania), kupata uhuru wake kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza, Desemba 9, mwaka 1961.
11 years ago
GPL28 Apr
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQi5zuU8X8Nb5EfrVvDdMEUpL5fwb87e-*Gw*bap1qVglep5aTSqe2DJy436qJQIymEIUPDsDwUm6i3m0YkxWbJK/MAADHIMISHOYAMIAKA52YAUHURU4.jpg?width=650)
MAADHIMISHO YA MIAKA 52 YA UHURU WA TANZANIA BARA ZAFANA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiambatana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Davis Mwamunyange wakiwasili katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanzania Bara leo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania