Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twitter kufuta picha za waliofariki

Twitter kufuta picha za watu waliofariki ambao katika maisha yao walikuwa wanatumia mtandao huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Twitter kutochapisha picha za uchi

Kampuni ya Twitter imeweka Sheria mpya ya kupambana na watumiaji mtandao huo wanaoweka picha za uchi kulipiza kisasi

 

5 years ago

BBCSwahili

Bibi aagizwa na mahakama kufuta picha za wajukuu Facebook kwa kukosa kuomba idhini

Sheria ya faragha ni kwamba bibi anahitaji ruhusa ya mtoto wake kuweka picha za wajukuu zake mtandaoni

 

9 years ago

Bongo5

Rapper mpya? Baada ya Magufuli, Papa Francis atrend Twitter na #PopeBars, picha hii ndio chanzo

3596

Weusi, Fid Q na rappers wengine kaeni chonjo sababu Papa Francis anataka crown yake!

3596

Picha ya kiongozi huyo mkuu wa kanisa katoliki duniani akiongea huko Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati, imesababisha atrend kwenye Twitter kwa hashtag #PopeBars.

Papa anaonekana akiwa ameshika kipaza kama vile wanavyoshika rappers na hivyo kuifanya picha hiyo iwe gumzo mtandaoni.

Wakitumia hashtag ya #PopeBars watu wamekuwa wakiandika mashairi wanayodhani kama Papa angekuwa rapper akenguwa akiyachana.

Haya...

 

5 years ago

Quartz

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts  QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report  The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk  CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive  Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa  Sputnik InternationalView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22

Idadi ya raia wa Tanzania waliofariki katika mkanyagano wakiwa katika ibada ya Hajj nchini Saudi Arabia mwezi uliopita imeongezeka na kufikia 22

 

9 years ago

Mwananchi

Mahujaji 769 waliofariki wamezikwa

Mahujaji 769 wakiwamo Watanzania wanne waliofariki dunia kwenye ibada ya Hijja katika Mji Mtakatifu wa Makka, nchini Saudi Arabia miili yao imezikwa saa chache baada ya kufariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yawajali wateja waliofariki

je wataka nani aendeleze ukurasa wako kwenye Facebook baada ya kifo chako? ama utataka ufutike kabisa kama wewe ambavyo usivyohai?.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO: Waliofariki na Ebola wafikia 3000

Shirika la afya duniani limesema kuwa zaidi ya watu 3000 wamedaiwa kufariki kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi

 

11 years ago

GPL

MTITU AWAKUMBUKA WASANII WALIOFARIKI

Na Rhoda Josiah MWENYEKITI Msaidizi wa Klabu ya Bongo Movie Unity, William Mtitu ameguswa na kuamua kutembelea makaburi ya wasanii mbalimbali waliofariki dunia. Mwenyekiti Msaidizi wa Klabu ya Bongo Movie Unity, William Mtitu. Akizungumza na Amani mara baada ya kutembelea Makaburi ya Kinondoni wiki iliyopita, Mtitu alisema ameamua kufanya hivyo kwani amegundua wasanii wengi… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani