MTITU AWAKUMBUKA WASANII WALIOFARIKI
![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8Qr-mHbuFu1gCwIOh17Qzar-5XNMRA2vDuqnOOrQosLOMx916CQdLyL0BVaV9ZNGou047PpDk0P43LYOMeYPWqR/MTITU.jpg?width=650)
Na Rhoda Josiah MWENYEKITI Msaidizi wa Klabu ya Bongo Movie Unity, William Mtitu ameguswa na kuamua kutembelea makaburi ya wasanii mbalimbali waliofariki dunia. Mwenyekiti Msaidizi wa Klabu ya Bongo Movie Unity, William Mtitu. Akizungumza na Amani mara baada ya kutembelea Makaburi ya Kinondoni wiki iliyopita, Mtitu alisema ameamua kufanya hivyo kwani amegundua wasanii wengi… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MOVIE WAWAOMBEA DUA WASANII WENZAO WALIOFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzfXY3OzUaHpwxob94ER64GStYVRryQTe2dLgNShsDEG8Irm1UoD1FQMOV6K-quDQ4RCtphRum7Ucjo2a8iDhdc/mtitu.jpg?width=650)
WASANII WAMFANYIA VIBAYA MTITU MSIBANI
11 years ago
CloudsFM05 Aug
BONGO MOVIE KUWASOMEA DUA WASANII MBALIMBALI WALIOFARIKI DUNIA
Wasanii wa Bongo movie wanatarajia kufanya hitma ya wasanii mbalimbali waliofariki dunia katika uwanja wa Mnazi Mmoja tarehe 16 mwezi huu.
Akizungumza na leo tena, Mwenyekiti wa Bongo Movie,Steve Nyerere alisema kuwa katika hitma hiyo watakuwepo wageni mbalimbali kama Sheikh Mkuu wa Mkoa na wachungaji mbalimbali, Mama Salma Kikwete, Mama Pinda na wengineo na hitma hiyo itaanza kuanzia saa nne asubuhi.
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu
Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;
"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...
10 years ago
Uhuru Newspaper17 Mar
Chilolo awakumbuka wazee
MBUNGE wa Viti Maalumu Diana Chilolo, (CCM), amehoji mkakati wa serikali kuwasaidia wazee wasiojiweza walioko kwenye maeneo mbalimbali nchini.
Diana alihoji hatua hiyo bungeni mjini hapa jana alipokuwa akiuliza swali la nyongeza. Mbunge huyo alitaka kujua ni lini serikali itaanza kuwalipa pesheni wazee wote nchini.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga, aliitaka jamii kuwasaidia wazee na kuwaondoa kwenye mazingira ya kuzurura.
Aidha, alizataka halmashauri nchini kuchukua hatua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdof8YY-0h7GHomJCsAPY-Z37QZQraob3MQE*6NTGIMa53ETdXfbTBwnHabXcun35r1uw*uPj8TjzU0P*yb6dfd/kuambiana.jpg)
DEVOTA AWAKUMBUKA MZEE SMALL, KUAMBIANA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s72-c/kids_jail.jpg)
Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s1600/kids_jail.jpg)
Na Mussa Juma, Mwananchi
Atoa mbuzi wawili kwa ajili ya kushereheka Pasaka
Arusha. Rais Jakaya Kikwete ametoa msaada wa mbuzi wawili, chakula na mafuta kwa watoto waliopo mahabusu mkoani hapa ili kusheherehea Sikukuu ya Pasaka.Akikabidhi msaada huo, Ofisa Maendeleo ya Jamii Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha, Thabita Matiko alisema juzi kuwa vitu vyote hivyo vina thamani ya Sh400,000.
Alisema watoto hao wanapaswa kusherehekea Pasaka kama wengine wanaoishi na wazazi wao.
Wakati huohuo, Ofisa Ustawi...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
FURAHA YA SIKUKUU: Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha