Chilolo awakumbuka wazee
MBUNGE wa Viti Maalumu Diana Chilolo, (CCM), amehoji mkakati wa serikali kuwasaidia wazee wasiojiweza walioko kwenye maeneo mbalimbali nchini.
Diana alihoji hatua hiyo bungeni mjini hapa jana alipokuwa akiuliza swali la nyongeza. Mbunge huyo alitaka kujua ni lini serikali itaanza kuwalipa pesheni wazee wote nchini.
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga, aliitaka jamii kuwasaidia wazee na kuwaondoa kwenye mazingira ya kuzurura.
Aidha, alizataka halmashauri nchini kuchukua hatua...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/c557C1-klAA/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8Qr-mHbuFu1gCwIOh17Qzar-5XNMRA2vDuqnOOrQosLOMx916CQdLyL0BVaV9ZNGou047PpDk0P43LYOMeYPWqR/MTITU.jpg?width=650)
MTITU AWAKUMBUKA WASANII WALIOFARIKI
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Chilolo aula ukamanda UVCCM Singida mjini, ataka mshikamano vijana na MO
Diana Chilolo (katikati) akila kiapo kuwa kamanda wa UVCCM manispaa ya Singida kwenye viwanja ofisi ya CCM mkoa wa Singida mjini Singida. Kulia ni katibu mkuu UVCCM taifa, Sixtus Mapunda ambaye alimwapicha Chilolo na kushoto ni kamanda msaidizi wa UVCCM manispaa ya Singida, Hassan Dumwala.
Na Nathaniel Limu
VIJANA waishio Jimbo la Singida Mjini, wameshauriwa kufanya kazi karibu na Mbunge wao, Mohammed Dewji ili kuharakisha upatikanaji maendeleo ya jimbo hilo, pamoja na ya kwao binafsi.
Wito...
9 years ago
GPLDK MAGUFULI, CHILOLO WAISAMBARATISHA NGOME YA TUNDU LISSU SINGIDA MASHARIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzdof8YY-0h7GHomJCsAPY-Z37QZQraob3MQE*6NTGIMa53ETdXfbTBwnHabXcun35r1uw*uPj8TjzU0P*yb6dfd/kuambiana.jpg)
DEVOTA AWAKUMBUKA MZEE SMALL, KUAMBIANA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kzG2qY2Z3KY/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s72-c/kids_jail.jpg)
Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-Go-EhjJtIDo/VSQeES9FdfI/AAAAAAADhOE/8eH54CeQp_k/s1600/kids_jail.jpg)
Na Mussa Juma, Mwananchi
Atoa mbuzi wawili kwa ajili ya kushereheka Pasaka
Arusha. Rais Jakaya Kikwete ametoa msaada wa mbuzi wawili, chakula na mafuta kwa watoto waliopo mahabusu mkoani hapa ili kusheherehea Sikukuu ya Pasaka.Akikabidhi msaada huo, Ofisa Maendeleo ya Jamii Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha, Thabita Matiko alisema juzi kuwa vitu vyote hivyo vina thamani ya Sh400,000.
Alisema watoto hao wanapaswa kusherehekea Pasaka kama wengine wanaoishi na wazazi wao.
Wakati huohuo, Ofisa Ustawi...
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...