Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIANA CHILOLO ALOVYOFUNGUKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI IKUNGI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KATIKA PICHA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI ZA MH. LOWASSA, SUMBAWAGA MKOANI RUKWA

Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Sumbawanga, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga Mkoani Rukwa, wakiishangilia Ndege iliyombeba Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili Uwanjani hapo, Septemba 2, 2015.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI, RUKWA.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI WA DUNI HAJI MGOMBEA MWENZA CHADEMA HUKO MTWARA



Mgombea Mwenza CUF - UKAWA, Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa Mtwara kwenye kampeni Jana 

 

9 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KAMPENI WA KINANA MBEYA MJINI KWENYE VIWANJA VYA SHULE YA MSINGI MWENGE

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaombea kura wagombea wa nafasi za Urais , Ubunge na Udiwani.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini ambapo aliwaambia Magufuli ni mchapakazi na yupo tayari kuleta mabadiliko ya kimaendeleo Tanzania.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini ambapo aliwataka vijana kutohadaika na kudanganywa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ikungi yaja na kampeni ya ‘Mkatae jirani asiye na choo’

KAMPENI ya ‘Mkatae jirani asiyekuwa na choo’ kwa kushirikiana na makundi mbalimbali ya hamasa yaliyopo katika Kata ya Ikungi, inalenga kuondoa tatizo lililotokana na mvua kubwa zilizonyesha mkoani Singida na...

 

9 years ago

Mwananchi

Diana Rose: Bibi anayebamba kwenye muziki

Diana Ernestine Earle Ross, au kama alivyojuliakana jukwaani Diana Ross alizaliwa Machi 26, 1944. Ni msanii wa muziki na mcheza filamu wa kike, Marekani.

 

5 years ago

CCM Blog

TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA


Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akitembea kwa miguu baada ya kumaliza kujinadi katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya, AGOSTI 28,2015. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOGMgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi baada ya kumaliza kujinadi  katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani