Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diana Rose: Bibi anayebamba kwenye muziki

Diana Ernestine Earle Ross, au kama alivyojuliakana jukwaani Diana Ross alizaliwa Machi 26, 1944. Ni msanii wa muziki na mcheza filamu wa kike, Marekani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za […]

 

11 years ago

Mwananchi

Rose Muhando: Kutoka ombaomba hadi nyota wa muziki wa Injili kimataifa

>Maisha uliyoishi zamani hayawezi kukukwamisha kufikia malengo uliyojiwekea. Hakuna mtu ambaye alifikiri leo hii Rose Muhando angeweza kuwa mwanamuziki mkubwa wa nyimbo za Injili anayelipwa fedha nyingi kutokana na muziki wake, hasa kwa wale waliomjua tangu utoto wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Anne Kansiime; Malkia wa vichekesho anayebamba Afrika Mashariki

Licha ya vichekesho kutotiliwa mkazo mkubwa hasa na wanawake, lakini wapo baadhi wamekuwa wakifanya mambo makubwa katika tasnia hiyo yenye mashabiki lukuki.

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO: NAFIKIRIA KURUDI KWENYE UISLAM

Muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando. NYOTA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando amesema hakuna jambo jema alilojifunza tangu abadili dini kutoka kwenye Uislamu na kuwa Mkristo zaidi ya ‘ugaidi’ wa kiroho mbaya na sasa anaangalia namna ya kurudi katika imani yake ya kwanza. Akizungumza na Amani hivi karibuni, Rose alisema hana furaha katika maisha ya Ukristo tofauti na alivyokuwa akielezwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka Aamua Kuwekeza Kwenye Huku

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie.

Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za muziki.

“Hiki ni kipindi cha uchaguzi, kwahiyo nikasema nitashiriki vipi mimi kama msanii kuwaelimisha Watanzania wenzangu ili tuwe na...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Amber Rose apose utupu kwenye jarida la GQ (18+)

Aliyekuwa mke wa rapper Wiz Khalifa, Amba Rose ame-pose utupu kwenye jarida la nchini Uingereza, GQ. Hii si mara ya kwanza kwa Amber kupiga picha za namna hiyo toka alipoachana na Wiz.(Ingia hapa) Kwa mujibu wa Hollywoodlife , inasemekana kuwa hii ni njia moja wapo ya kupromote kitabu chake cha “How To Be A Bad […]

 

10 years ago

Bongo5

Madee amchana Lundenga kwenye ngoma mpya , ‘hao Ma-miss wazee kama vipi mwaka kesho namleta bibi yangu agombee’

Wimbo mpya wa Madee ‘Vuvula’ haukuishia kumchana Chidi Benz peke yake(Ingia hapa) , upo mstari mwingine ambao unamlenga Mkurugenzi wa LINO International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga Mstari huo unasema: “Hey Anko Lunde, hao Mamiss wazee kama vipi mwaka kesho namleta bibi yangu agombee.” “Kuna tatizo lilitokea […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani