Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka Aamua Kuwekeza Kwenye Huku

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie.

Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za muziki.

“Hiki ni kipindi cha uchaguzi, kwahiyo nikasema nitashiriki vipi mimi kama msanii kuwaelimisha Watanzania wenzangu ili tuwe na...

 

10 years ago

Bongo5

Muigizaji Van Vicker wa Ghana aamua kuingia kwenye muziki

Muigizaji wa Ghana, Van Vicker ambaye mwaka jana mwishoni amefanya filamu na staa wa Bongo Wema Sepetu, ameamua kutupa karata yake kwenye muziki. Wema Sepetu na Van Vicker wa Ghana Akizungumza kwenye mahojiano ya hivi karibuni, Vicker ambaye pia ni producer na muongozaji wa filamu amesema kuwa ameamua kujaribu kuingia kwenye muziki kwasababu ameshafanya mengi […]

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA USIMTAFUTE MCHAWI KWENYE MATUKIO YAKO MABAYA!

Mwigizaji maarufu wa sinema za kibongo, Rose Ndauka. KWAKO mwigizaji unayezitendea haki sinema za Kibongo, Rose Ndauka. Mambo vipi dada yangu? Habari za siku nyingi? Kitambo kidogo hatujaonana, nafikiri ni kutokana na majukumu yetu kuwa mbalimbali. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima nashukuru Mungu maisha yanasonga kama kawaida, naendelea kusukuma gurudumu la maendeleo na moja ya majukumu yangu ya kila siku ni kuwakumbuka...

 

10 years ago

Bongo5

Said Fella: Bila kuwekeza fedha kwenye muziki msanii unapoteza tu muda

Mwanzilishi wa kundi la muziki Wanaume Family na Yamoto Band, Said Fella amesema kama msanii anataka kufanya muziki, lazima yeye au uongozi unaomsimamia wawekeze fedha kwenye muziki wake. Fella amewataka wasanii kuacha kuupeleka muziki wao kishkaji shkaji na waonyeshe nia ya dhati kwenye muziki wao. “Kila msanii ana malengo na muziki anaoufanya, ukiamua kuwa mwanamuziki […]

 

9 years ago

Bongo5

Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J

MasterJ

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.

MasterJ

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.

“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...

 

10 years ago

Bongo5

Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha

Msanii wa filamu Rose Ndauka ambaye alikuwa mbioni kufunga ndoa na mzazi mwenzake, msanii wa kundi la TNG, Malick Bandawe maarufu kama King Chiwaman wameachana kutokana na kutoelewana ndani ya mahusiano yao. Rose Ndauka na Chiwaman Akizungumza na bongo5 leo, Rose amesema wamejaribu kukaa chini na kuyaweka sawa mahusiano yao lakini imeshindika na kuona sulihisho […]

 

9 years ago

Mwananchi

Diana Rose: Bibi anayebamba kwenye muziki

Diana Ernestine Earle Ross, au kama alivyojuliakana jukwaani Diana Ross alizaliwa Machi 26, 1944. Ni msanii wa muziki na mcheza filamu wa kike, Marekani.

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee awashauri wasanii kuwekeza kwenye muziki kama yeye, Diamond na Ommy Dimpoz

Hii itakuwa ni wiki nzuri sana kwa Vanessa Mdee ambaye weekend iliyopita alifanikiwa kushinda tuzo ya Afrimma huko Dallas, Marekani pamoja na kuachia wimbo mpya ‘Never Ever’ na video yake. Vee Money ambaye amewashinda Victoria Kimani, Juliana Kanyomozi na Khadija Kopa kwenye kipengele cha ‘Best Female East Africa’, ametoa ushauri kwa wasanii wengine wa Tanzania […]

 

10 years ago

GPL

ALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE

Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani