Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ROSE NDAUKA USIMTAFUTE MCHAWI KWENYE MATUKIO YAKO MABAYA!

Mwigizaji maarufu wa sinema za kibongo, Rose Ndauka. KWAKO mwigizaji unayezitendea haki sinema za Kibongo, Rose Ndauka. Mambo vipi dada yangu? Habari za siku nyingi? Kitambo kidogo hatujaonana, nafikiri ni kutokana na majukumu yetu kuwa mbalimbali. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima nashukuru Mungu maisha yanasonga kama kawaida, naendelea kusukuma gurudumu la maendeleo na moja ya majukumu yangu ya kila siku ni kuwakumbuka...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO MATUKIO YAKO YANAFUNDISHA NINI?

Muimbaji wa Injili asiyechuja Bongo, Rose Muhando. KWAKO
 Muimba Injili usiyechuja Bongo, Rose Muhando. Hongera kwa kumtumikia Mungu kwa muda mrefu, hakika kila mmoja anakutambua kwa uwezo wako mkubwa wa kuimba. Nimekukumbuka leo kwa barua maana nimeshindwa kuvumilia mambo yanayoripotiwa kuhusu wewe. Tena bora ungekuwa raia wa kawaida kama nilivyo mimi, wewe ni maarufu, sijui kama unalitambua hilo.
Madhumuni ya barua hii...

 

9 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka Aamua Kuwekeza Kwenye Huku

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie.

Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za muziki.

“Hiki ni kipindi cha uchaguzi, kwahiyo nikasema nitashiriki vipi mimi kama msanii kuwaelimisha Watanzania wenzangu ili tuwe na...

 

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka aamua kuwekeza kwenye muziki

Msanii maarufu wa filamu, Rose Ndauka ameamua kujitosa kwenye muziki kwa kuanzisha kundi la vijana wenye vipaji litakalosimamiwa na kampuni yake ya Rosie. Akizungumza na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rose amesema licha ya vijana hao kutunga wimbo wa kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha uchaguzi, kundi hilo linaendelea kufanya kazi za […]

 

10 years ago

Vijimambo

USIJE UKAMTAFUTA MCHAWI KWENYE NDOA YAKO HABARI NDIYO HII JITIRIRSHE MWENYEWE LIVE BILA KING'AMUZI


Sophie Dahl amekuwa kiulizwa maswali kuhusu urefu wake na kimo cha mumewe
Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu.
Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo.Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha waraka mrefu ulioangalizia maisha ya watu wafupi.
Utafiti wao ulizua mjadala mkali kutoka kwa kile kinachoweza kusemekana kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu

Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa  mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,

“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”

Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!

 

10 years ago

Bongo5

Rose Ndauka na Chiwaman waachana, ndoto za ndoa zayeyuka, Rose athibitisha

Msanii wa filamu Rose Ndauka ambaye alikuwa mbioni kufunga ndoa na mzazi mwenzake, msanii wa kundi la TNG, Malick Bandawe maarufu kama King Chiwaman wameachana kutokana na kutoelewana ndani ya mahusiano yao. Rose Ndauka na Chiwaman Akizungumza na bongo5 leo, Rose amesema wamejaribu kukaa chini na kuyaweka sawa mahusiano yao lakini imeshindika na kuona sulihisho […]

 

10 years ago

GPL

ALIYEKUWA MCHUMBA WA ROSE NDAUKA, MALICK BANDAWE ATEMBELEA GPL, AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA NA ROSE

Mwanamuziki Chiwa Malick Bandawe wakati akihojiwa na Global TV Online leo. Malick akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari wakati akihojiwa na Global TV Online.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford:Mchawi wa Maisha Yako ni Wewe Mwenyewe

NIDHAMU ni silaha kubwa katika maisha.kuna ambao Mungu aliwabariki kwa nafasi zao lakini hawakuweza kutumia nafasi zao vizuri kwasababu ya kukosa nidhamu.walihisi wao ni bora kuliko wengine ndo maana walibarikiwa.

Mwisho wa siku wakishapotea au mambo kwenda tofauti na walivyokuwa wanadhania wanaanza kulaumu watu.Wengine wataingia hadi kwenye ushirikina kwa kusemwa wamerogwa..Mchawi wa maisha yako ni wewe mwenyewe...MUWEKE MUNGU MBELE,KUWA MVUMILIVU,ACHA TAMAA,FANYA KAZI KWA BIDII, PENDA...

 

11 years ago

GPL

ROSE NDAUKA AJIFUNGUA

Stori: Imelda Mtema
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji mwanzoni mwa wiki hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo jijini Dar. Rose Ndauka. Akizungumza na gazeti hili, Rose Ndauka alisema anamshukuru sana Mungu kwa kumjaalia kujifungua salama huku mwanaye huyo akiwa na afya njema. “Ki ukweli kabisa namshukuru sana Mungu kwa zawadi ya mtoto kwa maana nimejifungua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani