Mahujaji 769 waliofariki wamezikwa
Mahujaji 769 wakiwamo Watanzania wanne waliofariki dunia kwenye ibada ya Hijja katika Mji Mtakatifu wa Makka, nchini Saudi Arabia miili yao imezikwa saa chache baada ya kufariki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
Mahujaji wengine wane (4) kutoka Tanzania ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa hawaonekani tangu ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia. Kutambuliwa kwa mahujaji hao...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Taarifa zaidi kuhusu Mahujaji kutoka Tanzania waliofariki na kujeruhiwa huko Saudi Arabia
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_ZpGGFueAI/Vgmm_RxyyGI/AAAAAAAAijo/-iRytu7Purc/s640/Ministry%2527s%2BHeader%2BFinal.jpg)
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Ubalozi wake mjini Riyadh, Saudi Arabia imepokea taarifa kuwa hadi kufikia tarehe 27 Septemba, 2015 watu waliopoteza maisha kufuatia tukio la mkanyagano (stampede) wa Mahujaji waliokuwa wakielekea Jamarat kutupa vijiwe huko Mina nje kidogo ya mji wa Makkah, lililotokea siku ya Alhamisi tarehe 24 Septemba,...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI NA KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sW88-RkUXxs/VgU-to7NT5I/AAAAAAAH7J0/xD07iJI-XuI/s200/images.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa imepokea kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EoW4SwwtKdk/XqFhILMKpxI/AAAAAAALn9A/rjXjI3EGoKUmHArbZ-xpgDkfS63GMajJgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
TAKUKURU Njombe yaokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kwenye chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS
Na Amiri kilagalila,Njombe
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Njombe imefanikiwa kuokoa Bilioni 1,769,161,693.31 kutokana na chunguzi zinazohusu AMCOS na SACCOS mkoani humo.
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Njombe Bi,Domina Mukama ameyasema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari-Machi 2020.
“Jumla ya SACCOS na AMCOS 85 katika mkoa wa Njombe zilikuwa zinachunguzwa 14 Makambako,6 Ludewa,19 Makete,13 Wanging’ombe,35 hapa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPons6g7vL1wF8hbhK*p*k457t5lnEo41m1jCH0NwrLaVZoUrQvVUe6Y7nTh0VfTzW-1ClsfNHuTo3xf19MyPc7/Hijaa.jpg?width=650)
A-Z VIFO VYA MAHUJAJI
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
‘Watendeeni haki mahujaji’
TAASISI za kusafirisha Mahujaji nchini, zimetakiwa kuwa na umoja na ushirikiano ili kuwatendea haki Waislamu wanaokwenda katika ibada ya hijjah Makha, nchini Saudi Arabia. Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Taasisi ya...
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mahujaji milioni 17 wakusanyika Karbala