Mahujaji milioni 17 wakusanyika Karbala
Washia wamemiminika kwa mamilioni kwa ibada ya kila mwaka ya Arubaeen mjini Karbala, Iraq
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Dec
Mahujaji milioni 17 wakusanyika Karbala.
Mamilioni ya mahujaji wa Kishia wamemiminika katika mji wa Karbala, Iraq, kwa ibada ya kila mwaka ya Arbaeen ingawa kuna tishio la mashambulio ya wapiganaji wa madhehebu ya Sunni wa Islamic State.
Wakuu wa Iraq wanasema mahujaji zaidi ya milioni 17 wamekusanyika Karbala kuhudhuria Arbaeen.
Picha zilizopigwa kutoka angani zinaonesha barabara zinazoelekea Karbala kama mito ya watu waliovaa nguo nyeusi, hadi upeo wa macho.
Na kuna wasiwasi kuwa mji wa Karbala hautaweza kuwapatia malazi...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Mahujaji milioni 2 wakamilisha hija
ZAIDI ya mahujaji milioni 1.3 kutoka kila pembe ya dunia jana walitumia siku nzima katika viwanja vya Arafat vilivyoko kilometa 15 kutoka jiji la Makkah kukamilisha kilele za ibada ya Hija ya mwaka huu.
10 years ago
MichuziWATANZANIA DMV WAKUSANYIKA KUOKOA MAISHA YA MWENZAO
Watanzania walioko nchini Marekani, wamechangisha zaidi ya Dola 3,550 kwa ajili ya kumsaidia ndugu Moh'd Said Moh'd anayehitaji kwenda nchini India kwa matibabu.
Akifungua shughuli hiyo iliyofanyika May 17, katika Jimbo la Meryland nchini Marekani na kuzijumuisha jumuiya mbali mbali za Kitanzania, Mwenyekiti wa Jumuiya ya...
11 years ago
GPLMASTAA, WANANCHI WAKUSANYIKA HOSPITALI YA KAIRUKI KUUPOKEA MWILI WA TYSON
10 years ago
VijimamboPICHA ZINGINE ZA WATANZANIA DMV WAKUSANYIKA KUOKOA MAISHA YA MWENZAO
Akifungua shughuli hiyo iliyofanyika May 17, katika Jimbo la Meryland nchini Marekani na kuzijumuisha jumuiya mbali mbali za Kitanzania, Mwenyekiti wa Jumuiya ya...
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Mahujaji wa TZ waliofariki wafikia 22
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
‘Watendeeni haki mahujaji’
TAASISI za kusafirisha Mahujaji nchini, zimetakiwa kuwa na umoja na ushirikiano ili kuwatendea haki Waislamu wanaokwenda katika ibada ya hijjah Makha, nchini Saudi Arabia. Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Taasisi ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSPons6g7vL1wF8hbhK*p*k457t5lnEo41m1jCH0NwrLaVZoUrQvVUe6Y7nTh0VfTzW-1ClsfNHuTo3xf19MyPc7/Hijaa.jpg?width=650)
A-Z VIFO VYA MAHUJAJI
10 years ago
BBCSwahili14 Jul
Mahujaji 27 waaga dunia India