Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA, WANANCHI WAKUSANYIKA HOSPITALI YA KAIRUKI KUUPOKEA MWILI WA TYSON

Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere, akiwasili katika Hospitali ya Kairuki kusubiri mwili wa marehemu. Steve alivalia tisheti yenye ujumbe 'Why always me'. Mke wa marehemu Tyson, Beatrice Shayo akiwa na simanzi wakati akiusubiri mwili wa mumewe.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA GEORGE TYSON WAWASILI KAIRUKI, VILIO VYATAWALA

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa George Tyson kuupeleka mochwari. Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiingizwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MAREHEMU TYSON WATOLEWA HOSPITALI YA MKOA MORO

Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro. ...Wakiupakia mwili wa marehemu katika gari. Mwili wa marehemu George Tyson…

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli ashiriki kuupokea mwili wa marehemu Dk. Kigoda Dar

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizungumza na vyombo vya habari jinsi alivyomfahamu aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara, marehemu Dk Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam jioni hii, ukitokea India ambako alipatwa na mauti.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)

 Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WASUSIA 40 YA TYSON

Stori: Gladness Mallya Jamani! Katika hali ya kushangaza, mastaa wa filamu Bongo wamesusia kumbukumbu ya siku 40 ya aliyekuwa muongozaji maarufu wa filamu nchini, George Otieno ‘Tyson’ aliyefariki dunia kwa ajali Mei 31, mwaka huu. Aliyekuwa mke wa George Otieno, 'Tyson', Beatrice Shayo Shughuli ya 40 ya Tyson ilifanyika Alhamisi iliyopita nyumbani kwa aliyekuwa mkewe, Beatrice Shayo maeneo ya Sinza-Mapambano, Dar...

 

11 years ago

Michuzi

mwili wa george tyson ulipowasili Dar es salaam

 Dada wa marehemu Tyson, Doreen akilia kwa simanzi baada ya mwili wa kaka yake kuwasili katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es salaam jana jioni.   Jeneza lenye mwili wa George Tyson likiingizwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki, Mikocheni jijini Dar. Wadau wa tasnia ya filamu wakiwa na jeneza la Mwili wa Tyson ukiwa mochwari katika Hospitali ya Kairuki.
PICHA NA GPL

 

11 years ago

GPL

SAID MECKY SADICK AONGOZA KUAGA MWILI WA TYSON

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akiaga mwili wa marehemu George Otieno 'Tyson' katika Viwanja vya Leaders, Dar. Said Mecky Sadick wakati akielekea kuaga mwili wa Tyson.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA TYSON WAAGWA, MCHUNGAJI AKEMEA ROHO ZA MAUTI KWA WASANII

Mwili wa aliyekuwa muongozaji wa filamu za Kibongo, George Otieno Okumu 'Tyson' jana umeagwa katika Viwanja vya Leaders Kinondoni, Dar kabla ya kusafirishwa kuelekea nchini Kenya kwa mazishi. Katika shughuli hizo za kuaga, Mchungaji Mwaiposa aliwaombea wasanii kwa kukemea roho za…

 

10 years ago

Michuzi

KAIRUKI HOSPITALI YAINGIZA MTAMBO MAALUMU WA UPASUAJI

HOSPITALI ya Kumbukumbu ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, imeingiza mtambo maalumu wa kisasa kutoka Kampuni ya Ethicon ya Marekani utakaokuwa ukitumika katika upasuaji wa  kawaida na ule matobo.
 Mtambo huu unafahamika  kama Ultrasonic and Advanced Bipolar HARMONIC Generator unatumia nishati ya sauti au mwangwi (ultrasound) kuweza kukata mwili wa binadamu bila kupoteza hata chembe ya damu kwa mgonjwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Daktari Bingwa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani