KAIRUKI HOSPITALI YAINGIZA MTAMBO MAALUMU WA UPASUAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-llmOwniJA4o/VM-DhwhwshI/AAAAAAABSkc/b0tXrzgX7sg/s72-c/20150122_083234.jpg)
HOSPITALI ya Kumbukumbu ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, imeingiza mtambo maalumu wa kisasa kutoka Kampuni ya Ethicon ya Marekani utakaokuwa ukitumika katika upasuaji wa kawaida na ule matobo.
Mtambo huu unafahamika kama Ultrasonic and Advanced Bipolar HARMONIC Generator unatumia nishati ya sauti au mwangwi (ultrasound) kuweza kukata mwili wa binadamu bila kupoteza hata chembe ya damu kwa mgonjwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Daktari Bingwa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziUPASUAJI WA MATOBO LAPAROSCOPIA WAFANYIKA LIVE KAIRUKI HOSPITALI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n7DsnPd7bHU/XnNUUy2jTCI/AAAAAAALkbE/UO0ZoGFduZ4ff3k2lRHDJtMdqxsbaUXQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B1.29.27%2BPM.jpeg)
MTAMBO WA KISASA WA KUVUNJA MAWE KWENYE MFUMO WA MKOJO BILA UPASUAJI WATUA HOSPITALI YA BENJAMIN MKAPA
Huduma hiyo imezinduliwa baada ya kuwasili kwa mtambo wa kisasa unaotumia mionzi katika kufanya huduma hiyo tofauti na awali ambapo wagonjwa walikua wakifanyiwa upasuaji.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Dkt. Alphonce Chandika amesema huduma hiyo itafanyika kwa mara...
11 years ago
MichuziHUDUMA YA UPASUAJI WA KUTUMIA MATOBO ‘LAPAROSCOPIA’ KAIRUKI HOSPITAL JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
GPLWENGI WASIFIA HUDUMA YA UPASUAJI WA KUTUMIA MATOBO ‘LAPAROSCOPIA’ KAIRUKI HOSPITAL
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ncQ9UwwjSV0/VM9vQF-4zZI/AAAAAAAHA_A/plzg4MvDA-A/s72-c/hospitali%2B1.jpg)
HOSPITALI YA ENDUIMET WILAYA YA LONGIDO YAPATA MTAMBO WA NGUVU ZA JUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ncQ9UwwjSV0/VM9vQF-4zZI/AAAAAAAHA_A/plzg4MvDA-A/s1600/hospitali%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VUiSFzeeqAc/VM9vOe0L1jI/AAAAAAAHA-4/OjM_0tR7S0Q/s1600/hospitali%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Angela Kairuki atembelea eneo maalumu la Mradi wa Gereji kwa Vijana Tegeta
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki atembelea eneo maalumu la Mradi wa Gereji kwa Vijana Tegeta. Eneo hili linajulikana kwa jina la Magereji kwakuwa ni eneo maalumu lililotengwa kwa vijana wanaojishughulisha na utengenezaji wa magari kutoka mitaa mbalimbali jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki akizuru eneo la Magereji Tegeta.
Mhe. Angela Kairuki akiangalia mitambo ya kisasa inayotumika...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA SIERRA LEONE ATEMBELEA HOSPITALI YA KAIRUKI
Katika ziara hiyo ya mafunzo wameweza kuona utaratibu wa Kairuki Hospital wa jinsi wanavyowahudumia wateja wa NHIF ambapo waziri na wawakilishi kutoka Sierra Leone walikuwa na lengo la kuja...
11 years ago
GPLMASTAA, WANANCHI WAKUSANYIKA HOSPITALI YA KAIRUKI KUUPOKEA MWILI WA TYSON
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA KAIRUKI YAPATA TUZO YA UBORESHAJI VIWANGO VYA HUDUMA YA AFYA
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ameukabidhi uongozi wa Hospitali ya Kairuki (KH) tuzo ya waliofanya vizuri katika vigezo mbalimbali vya uboreshaji viwango vya huduma...