HOSPITALI YA ENDUIMET WILAYA YA LONGIDO YAPATA MTAMBO WA NGUVU ZA JUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ncQ9UwwjSV0/VM9vQF-4zZI/AAAAAAAHA_A/plzg4MvDA-A/s72-c/hospitali%2B1.jpg)
Paroko wa Kanisa Katoliki,Parokia ya Enduimet,Jimbo Kuu la Arusha,Padri Pius Shao(katikati)akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa kuzalisha Umeme kwa nguvu za Jua ,kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Kusambaza Teknolojia(KAKUTE),Livinus Manyanga na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Longido,Gerson Mtera.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kusambaza Teknolojia(KAKUTE),Livinus Manyanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa kuzalisha Umeme kwa nguvu za Jua katika hospitali ya Kanisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Sekondari Mbeya yapata mtambo wa biogesi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4rt1CdIaf5g/VN0KL_DweBI/AAAAAAAHDXs/YULPnA8qA_8/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mh. Makalla ziarani Wilaya ya Longido
Katika ziara yake hiyo,alikutana na viongozi wa wilaya hiyo ya Longido na kuiagiza kampuni ya Haward Humfrey iliyofanya usanifu mradi wa maji wa Kisima cha Tembo ichukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kutopewa kazi zozote za miradi ya maji nchini kwa kusanifu mradi wa maji wa thamani ya shilingi milioni 253, mradi ambao...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Ndege inayotumia nguvu za jua yajaribiwa
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ndege inayotumia nguvu za jua yavunja rekodi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cqTZnCLfB-8/VK_jnGvErZI/AAAAAAAG8Ps/d5OrFXLCa8c/s72-c/1733.jpg)
Mh. Makalla akanusha kuzindua mradi maji wilaya ya Longido
![](http://3.bp.blogspot.com/-cqTZnCLfB-8/VK_jnGvErZI/AAAAAAAG8Ps/d5OrFXLCa8c/s1600/1733.jpg)
Mwandishi amenukuu malalamiko ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Onesmo Nangoro akiongea kwenye kikao cha Kamati ya ushauri mkoa (RCC) kilichofanyika juzi kuwa mimi Amos Makalla,Naibu Waziri wa Maji nilidanganywa nikazindua mradi wa maji wilaya ya Longido uliogharimu shilingi milioni 300 na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-llmOwniJA4o/VM-DhwhwshI/AAAAAAABSkc/b0tXrzgX7sg/s72-c/20150122_083234.jpg)
KAIRUKI HOSPITALI YAINGIZA MTAMBO MAALUMU WA UPASUAJI
Mtambo huu unafahamika kama Ultrasonic and Advanced Bipolar HARMONIC Generator unatumia nishati ya sauti au mwangwi (ultrasound) kuweza kukata mwili wa binadamu bila kupoteza hata chembe ya damu kwa mgonjwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Daktari Bingwa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4QCeSYBvigo/VILlR1MrKCI/AAAAAAAG1k4/SRR7S_GA-Kk/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
COURT PARTICIPATES IN THE 15TH EAC JUA KALI - NGUVU KAZI EXHIBITION
At the expo, exhibitors and the general public have shown interest in learning more about the Court especially how to approach and use its services in settling disputes regarding business...
10 years ago
MichuziMBOWE AKABIDHI AMBULANCE MBILI KWA HOSPITALI YA WILAYA YA HAI NA HOSPITALI YA MACHAME