Mh. Makalla akanusha kuzindua mradi maji wilaya ya Longido
![](http://3.bp.blogspot.com/-cqTZnCLfB-8/VK_jnGvErZI/AAAAAAAG8Ps/d5OrFXLCa8c/s72-c/1733.jpg)
Nimesoma katika gazeti la Habari leo la tarehe 9 Januari,2015,toleo la 02942,Ukurasa wa 8 habari na mwandishi Prisca Libaga,Arusha ,habari yenye kichwa cha habari "Mradi wa Maji wadaiwa kutoa Tope".
Mwandishi amenukuu malalamiko ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Onesmo Nangoro akiongea kwenye kikao cha Kamati ya ushauri mkoa (RCC) kilichofanyika juzi kuwa mimi Amos Makalla,Naibu Waziri wa Maji nilidanganywa nikazindua mradi wa maji wilaya ya Longido uliogharimu shilingi milioni 300 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4rt1CdIaf5g/VN0KL_DweBI/AAAAAAAHDXs/YULPnA8qA_8/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mh. Makalla ziarani Wilaya ya Longido
Katika ziara yake hiyo,alikutana na viongozi wa wilaya hiyo ya Longido na kuiagiza kampuni ya Haward Humfrey iliyofanya usanifu mradi wa maji wa Kisima cha Tembo ichukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kutopewa kazi zozote za miradi ya maji nchini kwa kusanifu mradi wa maji wa thamani ya shilingi milioni 253, mradi ambao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QjsMz_ceuf8/Xt5I7W705FI/AAAAAAALtFc/-BLrEG6Ykk4fULyVvw_keJ8Rf5YntpsowCLcBGAsYHQ/s72-c/AE9A1334-768x512.jpg)
MRADI WA MAJI LONGIDO NI MIUJIZA-DK.MHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QjsMz_ceuf8/Xt5I7W705FI/AAAAAAALtFc/-BLrEG6Ykk4fULyVvw_keJ8Rf5YntpsowCLcBGAsYHQ/s640/AE9A1334-768x512.jpg)
………………………………………………………………………………
“Tangu Longido kuwa Wilaya mwaka 2007 haijawahi kuwa na huduma maji yanayotiririka kwenye nyumba za watu, yamekuwepo maji ya visima miaka yote, nampongeza Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli alitupatia fedha kiasi cha shilingi bilioni 15. 89 ambazo zimetekeleza mradi maarufu unaoitwa mto Simba, ambapo maji...
9 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI KATIKA MJI WA GEITA
Naibu waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita
Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s72-c/AMI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIJIJI CHA MKONGO NAKAWALE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s1600/AMI%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa Maji kijiji cha Mkongo Nakawale ambao watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi.
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe 12 mei mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba...
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...
10 years ago
MichuziMH. MAKALLA AZINDUA MRADI WA MAJI HANANG
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-s18MPlBsAHE/UyxJxwUUHyI/AAAAAAAFVWM/SAFBg2Cdd3w/s72-c/001.jpg)
WAZIRI WA MAJI JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA MRADI WA MAJI KIJIJI CHA KWADELO WILAYA YA KONDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-s18MPlBsAHE/UyxJxwUUHyI/AAAAAAAFVWM/SAFBg2Cdd3w/s1600/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Uio9JO2qkNg/UyxJzDOIsKI/AAAAAAAFVWU/10LAS6ZwszU/s1600/002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S2HUNEZOPgc/UyxJyyUiuAI/AAAAAAAFVWY/nmi0TYV91W8/s1600/003.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s72-c/20140630_111320.jpg)
Ziara ya naibu waziri maji Mhe Amos Makalla wilaya ya manyoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s1600/20140630_111320.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9zoLqFo2brM/U7JnKAn74UI/AAAAAAAFt5I/NgkYqVholIQ/s1600/20140630_120613.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vc7K4ehE6sE/U7JnJmVDQKI/AAAAAAAFt5E/55tJ_W_LWII/s1600/20140630_160656.jpg)