Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege inayotumia nguvu za jua yajaribiwa

Jaribio la kuruka angani kwa kutumia ndege inayotumia umeme wa jua limeanza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ndege inayotumia nguvu za jua yavunja rekodi

Ndege inayotumia umeme wa jua imetua mjini Hawaii baada ya kuweka historia ya kuruka kilomita 7,200 katika eneo la pacific kutoka Japan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege inayotumia miale ya jua yatatizika

Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya kwanza inayotumia umeme jua

Jaribio la kwanza la ndege inayotumia umeme jua limefanyika leo baada ya ndege hiyo kufanikiwa kuanza kuruka asubuhi ya leo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA ENDUIMET WILAYA YA LONGIDO YAPATA MTAMBO WA NGUVU ZA JUA

Paroko wa Kanisa Katoliki,Parokia ya Enduimet,Jimbo Kuu la Arusha,Padri Pius Shao(katikati)akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa kuzalisha Umeme kwa nguvu za Jua ,kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Kusambaza Teknolojia(KAKUTE),Livinus Manyanga na Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Longido,Gerson Mtera. Mkurugenzi wa Kampuni ya Kusambaza Teknolojia(KAKUTE),Livinus Manyanga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mtambo wa kuzalisha Umeme kwa nguvu za Jua katika hospitali ya Kanisa...

 

10 years ago

Michuzi

COURT PARTICIPATES IN THE 15TH EAC JUA KALI - NGUVU KAZI EXHIBITION

The East African Court of Justice (EACJ) for the first time is participating in the EAC Jua Kali/Nguvu Kazi that is currently ongoing at the Gikondo Expo Ground in Kigali, Rwanda. The court has seized the opportunity to sensitize the public on the role, operations and procedures of the regional court.
At the expo, exhibitors and the general public have shown interest in learning more about the Court especially how to approach and use its services in settling disputes regarding business...

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi:'Nguvu kutoka nje'ilisababisha ajali ya ndege

''Nguvu kutoka nje'' ndio iliyosababisha ajali ya ndege iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 wengi wao raia wa Urusi.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

Haujatimia...Je Nguvu za Binadamu zinaweza Kuzuia Nguvu za Mungu...


Naleta kwenu msaswali machache ili mpate kunisaidia. Katika tabiri nyingi zilizopata kutabiriwa ndani ya vitabu vitakatifu kama BIBLIA na vinginevyo zimekuwa zikitimia pasipi shaka.Siku za nyuma kidogo huyu nabii anaye itwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshikiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitugani muda mfupi ulio pita.
SASA NAULIZA HIVI, JE BINADAMU ANAYO MAMLAKA AU NGUVU YOYOTE KATIKA KUBATILISHA KILE KINACHO TAJWA KUWA NI UTABIRI AMBAO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani