Ndege inayotumia nguvu za jua yavunja rekodi
Ndege inayotumia umeme wa jua imetua mjini Hawaii baada ya kuweka historia ya kuruka kilomita 7,200 katika eneo la pacific kutoka Japan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Ndege inayotumia nguvu za jua yajaribiwa
Jaribio la kuruka angani kwa kutumia ndege inayotumia umeme wa jua limeanza.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Ndege ya kwanza inayotumia umeme jua
Jaribio la kwanza la ndege inayotumia umeme jua limefanyika leo baada ya ndege hiyo kufanikiwa kuanza kuruka asubuhi ya leo.
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Ndege inayotumia miale ya jua yatatizika
Safari ya mwisho ya ndege ya kwanza inayotumia nishati ya miale ya jua kupaa angani, imetatizika kutokana na hali mbaya ya hewa.
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kilimanjaro yavunja rekodi ya 1995
Mkoa wa Kilimanjaro, umevunja rekodi ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 baada ya upinzani kunyakua majimbo saba kati ya majimbo tisa.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Whatsapp yavunja rekodi ya 'ujumbe'
Kila siku zaidi ujumbe billioni 30 za mtandao wa WhatsApp hutumwa kulingana na takwimu mpya zilizotolewa
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Dar yavunja rekodi mimba za utotoni (2)
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya kuzuia matukio ya ujauzito kwa watoto wa kike hali si ya kuridhisha.
9 years ago
Bongo503 Nov
‘Hello’ ya Adele yavunja rekodi nyingine ya Billboard
Mwimbaji wa Uingereza, Adele anaendelea kuweka historia kupitia wimbo wake mpya ‘Hello’. Ikiwa ni wiki moja na siku nne toka ‘Hello’ iachiwe rasmi Oct.23, wimbo huo umeweka rekodi nyingine. Wimbo huo umevunja rekodi ya Billboard kwa kupakuliwa mara milioni 1.1, na kuwa ndio wimbo uliopata downloads nyingi zaidi ndani ya wiki moja. Rekodi hiyo hapo […]
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Filamu mpya ya Stars Wars yavunja rekodi
Filamu mpya ya Star Wars: The Force Awakens imevunja rekodi Uingereza kwa kuuza tikezi nyingi zaidi siku ya kwanza ya uuzaji tiketi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania