Sekondari Mbeya yapata mtambo wa biogesi
Mradi wa gesi inayotumia kinyesi cha binadamu na wanyama wenye thamani ya zaidi ya Sh41 milioni ulizinduliwa na kukabidhiwa kwa Shule ya Sekondari Ilasi ili kuwa mfano kwa wengine katika mkakati wa kuokoa mazingira yanayoharibika kutokana na kukata miti kwa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule za Sekondari nchini zashauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi
Mkuu wa Shule ya Sekondari Manzese Bw.Linus Mwakasege akitoa ufafanusi kwa waandishi wa habari kuhusu manufaa ya mradi wa nishati endelevu ya Biogesi utakavyowanufaisha wanafunzi wa shule hiyo. (Picha zote na Aron Msigwa-MAELEZO).
Aron Msigwa-MAELEZO
9/9/2015.Dar es salaam.
Shule za Sekondari kote nchini zimeshauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi na majiko sanifu ili kulinda na kuhifadhi mazingira.
Ushauri huo umetolewa na Meneja Uhusiano wa Jamii wa Mamlaka ya Maji...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qLATbIl49jQ/VfFMBkbxeWI/AAAAAAAH3xA/E58GVKH3U9w/s72-c/image.jpg)
SHULE ZA SEKONDARI NCHINI ZASHAURIWA KUWEKEZA KATIKA MATUMIZI YA NISHATI ENDELEVU YA BIOGESI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qLATbIl49jQ/VfFMBkbxeWI/AAAAAAAH3xA/E58GVKH3U9w/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8E26RAgPpus/VfFMBn-4xZI/AAAAAAAH3w8/bLf1f9RYsjo/s640/image_2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ncQ9UwwjSV0/VM9vQF-4zZI/AAAAAAAHA_A/plzg4MvDA-A/s72-c/hospitali%2B1.jpg)
HOSPITALI YA ENDUIMET WILAYA YA LONGIDO YAPATA MTAMBO WA NGUVU ZA JUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ncQ9UwwjSV0/VM9vQF-4zZI/AAAAAAAHA_A/plzg4MvDA-A/s1600/hospitali%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VUiSFzeeqAc/VM9vOe0L1jI/AAAAAAAHA-4/OjM_0tR7S0Q/s1600/hospitali%2B2.jpg)
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Serikali yapata kigugumizi sekondari kufungwa
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imeshindwa kuweka wazi kufungwa kwa shule zake za sekondari kutokana na ukosefu wa chakula unaozikabili.
Badala yake imewatupia lawama wakuu wa shule zilizoamua kuwarudisha wanafunzi makwao kutokana na kukosa chakula cha kuwalisha.
Baadhi ya shule za sekondari nchini hivi karibuni zilifungwa kutokana na kukabiliwa na uhaba wa chakula baada ya wazabuni kugoma kuwasambazia chakula kwa sababu hawajalipwa fedha zao kwa muda mrefu.
Akizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjO4V1Lw8eS3YYTgJc-Q2Rg8ViqHaLa8DCLiTf6K9wzI7JuSY2xwqIjXPO8egMVp*jlkv1dT8O9x8*XuO5RIVgm5/001.MAKUMBUSHO.jpg)
SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCTxHTAywqk/XlO5LOBiC4I/AAAAAAACzUQ/IFj5bF-CqVsieIxdRNY45NxALi5_wWgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
CHADEMA YAPATA PIGO JIJI LA MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCTxHTAywqk/XlO5LOBiC4I/AAAAAAACzUQ/IFj5bF-CqVsieIxdRNY45NxALi5_wWgCgCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu Februari 24, 2020.
Katibu Mkuu wa CCM, Bashiru Ally amesema kati ya Madiwani hao, 10 ni Madiwani wa Kuchaguliwa na Mmoja ni wa Viti Maalumu huku timu hiyo inayoongozwa na Meya ikiwa na Viongozi Watatu wa Juu wa CHADEMA.
Amesema kuwa Madiwani hao wanatoka katika Jiji la Mbeya kwenye Halmashauri inayoongozwa na CHADEMA na Mbunge wa Jimbo hilo ni Joseph Mbilinyi (Sugu) na kuwa...
9 years ago
VijimamboTUICO YAPATA VIONGOZI WAPYA MKOANI MBEYA
CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri Mkoa wa Mbeya, kimefanikiwa kupata viongozi wapya watakao kiongoza chama hicho katika kipindi cha miaka mitano 2015 hadi 2020.
Uchaguzi umefanyika katika chuo cha...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GuHvHnEqiUs/VfhRJVqpukI/AAAAAAAH5C0/WGPymSE1n6g/s72-c/EXIM%2BPIC%2BMBY.jpg)
Benki ya Exim yatoa msaada wa vitabu sekondari Mbeya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GuHvHnEqiUs/VfhRJVqpukI/AAAAAAAH5C0/WGPymSE1n6g/s640/EXIM%2BPIC%2BMBY.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s72-c/furaha+vitabu6.jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s1600/furaha+vitabu6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FY0-XdLW9xs/Uyr9Lq1_diI/AAAAAAACdD8/OnqucfSw5Zg/s1600/mbaga2.jpg)