Benki ya Exim yatoa msaada wa vitabu sekondari Mbeya.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GuHvHnEqiUs/VfhRJVqpukI/AAAAAAAH5C0/WGPymSE1n6g/s72-c/EXIM%2BPIC%2BMBY.jpg)
Meneja wa benki ya Exim Tanzania tawi la Mbeya, Bw Iddy Mwacha(kushoto) akikabidhi msaada wa vitabu vya masomo kwa mmoja wa wanafunzi aliewawakilisha wanafunzi wenzie na uongozi wa shule ya sekondari Sinde iliyopo eneo la Mwanjelwa mkoani Mbeya katika kupokea msaada huo ikiwa ni mwendelezo wa harakati za benki hiyo katika kuisadia serikali kuboresha hali elimu na ufaulu wa wanafunzi hapa nchini. Wanaoshuhudia ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo, uongozi wa shule pamoja na ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s72-c/furaha+vitabu6.jpg)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZqN8oZCgc1I/Uyr9LM44WyI/AAAAAAACdD4/DZh-qvMyAQA/s1600/furaha+vitabu6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FY0-XdLW9xs/Uyr9Lq1_diI/AAAAAAACdD8/OnqucfSw5Zg/s1600/mbaga2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2jekBNKxw4do1Rnz29peZA4biDsG5sZTxXB9tNJRF44T*rIvPFrjfY2sOFnlheHYsTuZUejWAGffALi7i*VzkW1/mbaga2.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA MSAADA WA VITABU SHULE ZA SEKONDARI MBEYA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P-H746zAgQI/VgkyYPcChjI/AAAAAAAH7jA/La9LVoMwUOU/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1..jpg)
BENKI YA EXIM YATOA MSAADA WA MADAWATI SHINYANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-P-H746zAgQI/VgkyYPcChjI/AAAAAAAH7jA/La9LVoMwUOU/s640/EXIM%2BPIC%2B1..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ndjRdgbxPfQ/VgkyYDQ-hpI/AAAAAAAH7jE/t8kh-XYwRqQ/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s72-c/1%2B(2).jpg)
Airtel yatoa msaada wa vitabu kwa shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-ureI3M5ftzs/VBFIeY6yToI/AAAAAAACqno/1chnvkjXrTg/s1600/1%2B(2).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uPPCDYEOMYg/VMH8iOOmHgI/AAAAAAAG_Io/VbRECD9oD6o/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Airtel yatoa msaada wa vitabu shule ya sekondari Kiteto mkoani Manyara
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4SSQxiV-VyA/U3ntNAW8aFI/AAAAAAAA_M0/Zdkg-L2NSAU/s72-c/n9.jpg)
BENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 KWA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA KIBOSHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4SSQxiV-VyA/U3ntNAW8aFI/AAAAAAAA_M0/Zdkg-L2NSAU/s1600/n9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hxXB3OdkTP4/U3nlUqmXoKI/AAAAAAAA_KU/27xJBKlQIJQ/s1600/n10.jpg)
5 years ago
MichuziBenki ya Exim Yatoa Msaada wa Vyakula Kwa Ajili Ya Sikukuu ya Eid Kwenye Vituo Vya Kulelea Watoto Yatima Mikoa ya Minne.
Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaotekelezwa na benki hiyo unaofahamika kwa jina "Exim Cares", msaada huo ulilenga kuwawezesha watoto hao waweze kufurahia Sikukuu ya Eid-Ul-Fitr.
Kwa upande wa jiji la Dar es Salaam...
10 years ago
VijimamboTTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KATIKA SHULE YA SEKONDARI LUSWISWI ILEJE MBEYA
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
ALAF yatoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari wilaya ya Mbeya
Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege...