Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yapata kigugumizi sekondari kufungwa

Jumanne-SaginiNa Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imeshindwa kuweka wazi kufungwa kwa shule zake za sekondari kutokana na ukosefu wa chakula unaozikabili.
Badala yake imewatupia lawama wakuu wa shule zilizoamua kuwarudisha wanafunzi makwao kutokana na kukosa chakula cha kuwalisha.
Baadhi ya shule za sekondari nchini hivi karibuni zilifungwa kutokana na kukabiliwa na uhaba wa chakula baada ya wazabuni kugoma kuwasambazia chakula kwa sababu hawajalipwa fedha zao kwa muda mrefu.
Akizungumza na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Afya yapata kigugumizi deni la MSD

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepatwa na kigumizi cha kueleza hali ya upatikanaji dawa katika hospitali za umma, kulikosababishwa na serikali kudaiwa zaidi ya sh. bilioni 90 na...

 

10 years ago

Mtanzania

CWT yafichua siri sekondari kufungwa

Jumanne-SaginiChristina Gauluhanga na Patricia Kimelemeta
CHAMA Cha Walimu Tanzania(CWT) kimefichua siri ya baadhi ya shule za sekondari kufungwa kwa sababu ya kukosa chakula kikisema wakuu wa shule waliochukua uamuzi huo walifuata taratibu zote za sheria lakini serikali haikuwasikiliza.
Chama hicho kimesema kimeshangazwa na kauli ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI,Jumanne Sagini kutangaza kuwachukulia hatua wakuu wa shule hao akisema walikiuka taratibu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigugumizi cha nini Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Tunashangazwa na Serikali kuendelea kushikwa na kigugumizi linapokuja suala la kutaja tarehe ya kufanyika kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kwa kawaida uchaguzi huo hufanyika Septemba kila mwaka wa uchaguzi, kwa maana ya mara moja kila baada ya miaka mitano. 

 

11 years ago

Mwananchi

Sekondari Mbeya yapata mtambo wa biogesi

Mradi wa gesi inayotumia kinyesi cha binadamu na wanyama wenye thamani ya zaidi ya Sh41 milioni ulizinduliwa na kukabidhiwa kwa Shule ya Sekondari Ilasi ili kuwa mfano kwa wengine katika mkakati wa kuokoa mazingira yanayoharibika kutokana na kukata miti kwa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa.

 

10 years ago

GPL

SEKONDARI YA MAKUMBUSHO YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MAABARA YA KISASA YA KOMPYUTA

Wanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Makumbusho,Mariam Rajabu na Faraja Abdallah wakimsikiliza  Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kulia) akiwafafanulia jambo kuhusiana na matumizi ya kompyuta mpakato zilizokabidhiwa na mfuko huo kwa kushirikiana na Samsung ikiwa ni msaada kwa wanafunzi wa shule hiyo kuweza kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta.
Baadhi ya wanafunzi...

 

10 years ago

GPL

BAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28

 Mkuu wa shule ya sekondari ya Ifunda akizungumza na wanafunzi hao hivi karibuni. Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda. Uongozi wa shule ya sekondari ya Ufundi Ifunda  mkoani  Iringa  imewaita wanafunzi 28 kufika shuleni hapo octoba 2 ikiwa ni baada ya  shule  hiyo …

 

10 years ago

BBCSwahili

Usalama Kenya:Serikali yapata pigo.

Serikali ya Kenya imeshindwa katika jaribio lake la kupinga uamuzi wa mahakama kuhusu sheria mpya ya usalama iliozua tetesi.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia

saada mkuyaNa Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yapata sh. bilioni 15 za kulipa madeni ya Mahindi

5

SERIKALI Serikali imepata mkopo wa sh. bilioni 15 ambazo zitatumika kulipa kiasi cha madeni ya mazao ya nafaka ambayo wakulima wanaidai kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).

Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa nyakati tofauti wakati akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Iringa akiwa kwenye ziara ya kikazi ya kukagua maendeleo katika mkoa huo.

Akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo (SACCOS) cha Mazombe kilichopo Ilula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani