Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab

Abiria wa kiislamu waliwalinda wenzao wakristo kwa kukataa kugawanywa kwa makundi basi lao lilipotekwa na wapiganaji wa Al shaabab

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Polisi waokoa watoto 4 wa familia moja waliotekwa

VITENDO vya utekaji nyara watu vimeibuka jijini Dar es Salaam baada ya watu watano wenye asili ya kiarabu kutekwa wakiwemo watoto wanne wa familia moja na baadaye kuokolewa na polisi.

 

11 years ago

Habarileo

Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo

SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab: Wanawake waislamu waliwafunika Hijab wakristo

Abiria aliyenusurika shambulizi la Al shabaab ameiambia BBC kuwa wanawake waislamu walivua hijab na kuwastiri wanawake wakristu iliwasiuawe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabab lawaachilia wanajeshi 2 wa Kenya

Polisi nchini Kenya wanasema kuwa maafisa wawili wa jeshi la Kenya waliotekwa na wanamgambo ya AL Shabaab yapata miaka miwili iliyopita wameachiliwa huru.

 

11 years ago

BBCSwahili

Alshabab wanasajili wapiganaji Nairobi

Kenya kwa wakati huu inakabiliana na changamoto mpya ya usalama katika vita dhidi ya ugaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab

Maafisa wa Usalama wa Kenya wameanzisha opereshni kali katika msitu wa Boni ulioko Lamu kuvunja kambi ya washirika wa Al shabaab

 

11 years ago

BBCSwahili

AlShabab yaua mama kutofunga niqabu

Taarifa kutoka Somalia zinasema mwanamke mmoja katika eneo la kusini mwa nchi hiyo ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Alshabab yaua watu 10 hotelini Somalia

Wapiganaji wa kundi la wanamgambo wa Al Shabaab wameshambulia mkahawa mmoja mjini Mogadishu na kua watu 10

 

9 years ago

Mwananchi

Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe

Uongozi wa Mkoa wa Singida umefuta matumizi ya zaidi ya Sh60 milioni kwa ajili ya kugharamia sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa huo tangu kuanzishwe kwake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani